Mapenzi pesa au ufundi?

Mapenzi pesa au ufundi?

Zama yalikuwa mapenzi ya kweli siku hizi bila pesa japo nusu yaah mahitaji ya mwanamke imekula kwako tusianze kujipa matumaini ya bandia hapa na kufumbia macho mambo yanayotokea kila kukicha namna mapenzi yalivyosambaratishwa na fedhwa .
 
Mmmmmmmhhhhh me nadhani ni both ov them..! Unaweza ukawa na dough na bado ukatendwa tuu na unaweza ukawa mzuri in bedrock but ukasalitiwa vilevile..! Cha muhimu upate mpenzi anayejielewa tuu
 
Atakuwa anamchepuko unaompa pesa believe me

Ah wapi, kutokumpa pesa kwangu hakumaanishi sina. ila yeye mwenyewe huwa hana mazoea ya kutaka pesa kwangu kwani hana tamaa ndogondogo alafu istoshe mtoto anajiweza na anajielewa sio kama wewe miss wa kinyaru
 
Last edited by a moderator:
vikienda sambamba vinanogaga!! Preta
eti jamaa fundi halafuvanipeleke kayumba gest hauz. akwendreee

Umeona eehhhe........wee unajua......hao wanaosema pesa.......wanaenda kununua shughuli.......na hao wanaosema shughuli.........wanaenda kununuliwa.......bora kubalance...
 
Last edited by a moderator:
Umeona eehhhe........wee unajua......hao wanaosema pesa.......wanaenda kununua shughuli.......na hao wanaosema shughuli.........wanaenda kununuliwa.......bora kubalance...

mtaka yote kwa pupa hukosa yote.....
chagua moja....
 
Habari mwana forum mwenzangu wa MMU. Jana nimetumiwa wimbo wa diamond na Ney wa mitego wakibishana kuwa mapenzi ni ufundi na mwingine anasema pesa. Nikaamua kumtafuta swahiba wangu kumuuliza na kilichotokea ni kuwa na sisi tukawa tumepishana mtazamo. Sasa nalileta kwenu tulizungumze.

Kwa upande wangu naona mapenzi ni ufundi. Kuna huu msemo "Ukiona dada kaolewa, jua dada kanogewa". Na mwanamke akifuata pesa katika mahusiano ni rahisi sana kucheat kuliko aliyekubali kuwa na maskini lakini ni fundi katika ulingo. Vipi wewe?

Mapenzi pesa ww ufundi peleka veta!!
 
Kwa namna nilivyozisoma komenti nyingi humu, NI WAZI SIKU HIZI HAKUNA MAPENZI.

Zaidi tunafuata ama pesa au ufundi.

Kilichopo siku hizi ni TAMAA tu.
 
Dah!Comment Zenu Zimenichanganya Kabisa,,ewe Mola Wangu Nakuomba Unipe Mke Mchamungu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom