Mapenzi pesa au ufundi?

Mapenzi pesa au ufundi?

Mad Scientist

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
215
Reaction score
77
Habari mwana forum mwenzangu wa MMU. Jana nimetumiwa wimbo wa diamond na Ney wa mitego wakibishana kuwa mapenzi ni ufundi na mwingine anasema pesa. Nikaamua kumtafuta swahiba wangu kumuuliza na kilichotokea ni kuwa na sisi tukawa tumepishana mtazamo. Sasa nalileta kwenu tulizungumze.

Kwa upande wangu naona mapenzi ni ufundi. Kuna huu msemo "Ukiona dada kaolewa, jua dada kanogewa". Na mwanamke akifuata pesa katika mahusiano ni rahisi sana kucheat kuliko aliyekubali kuwa na maskini lakini ni fundi katika ulingo. Vipi wewe?
 
Ngoja niende BOT nikaiulize ina wapenzi wangapi.

Ntaleta mlisho nyuma.

Kama itakuwa imechepuka na videmu vya bureau de change hakyamama ntatafuta pesa Mkombozi bank imesingiziwa...
 
Kwanza nikusahihishe, Kuchepuka hakuko subject na chochote kati ya ulivyovileta. Pili, ufundi ukiwa na pesa ni added advantage, ufundi bila pesa umeuawa ndugu. Pesa ni changamoto kwa dada zetu, hata uwe fundi vipi pesa zinaleta ufundi zaidi. Pesa inapunguza ku cheat kwa akina dada, kwa kuogopa challenge za maisha. Tafuta pesa acha ubishi ili kama interest yako kina dada u uwapate.
 
Mwanamke ni puzzle, Kuna maswali ambayo ukiuliza huwezi kupata majibu ya kweli hata ungekesha kuuliza.
kama vile;
Unanipenda baby atakujibu - ndiyo
Una mchepuko? atakujibu - Sina
Nakuridhithisha kitandani? atakujibu - ndiyo, wewe ni kiboko. kama ungekuwa na spana ukafungua kichwa utamuona anayemridhisha. Huwa wanafikia kipindi maisha yao yanakuwa muhimu kuliko starehe za ngona wakiwa kuanzia miaka 28 na kuendelea
. . . . . . . nakuendelea
 
Sijakuelewa bado unazungumzia nani? anayechepuka. mke? mchumba? grfrnd? au nani?
 
Kwanza nikusahihishe, Kuchepuka hakuko subject na chochote kati ya ulivyovileta. Pili, ufundi ukiwa na pesa ni added advantage, ufundi bila pesa umeuawa ndugu. Pesa ni changamoto kwa dada zetu, hata uwe fundi vipi pesa zinaleta ufundi zaidi. Pesa inapunguza ku cheat kwa akina dada, kwa kuogopa challenge za maisha. Tafuta pesa acha ubishi ili kama interest yako kina dada u uwapate.



.....ama kweli duniani aman imekwisha kwenye msiba wa fukara mambo huwa shwari lakin kwa wenye mali ni matatizoo oo bora nikae pembeni,
walimwengu siku hizi hawamwogopi mungu akitokea mwenye malii mahututi utasikia wanaanza kuuza mali hata watoto wakw wanaanza kuhangaika
 
Nimetoa neno kuchepuka, nimeweka kucheat labda linaweza likaleta maana inayoeleweka kidogo kulingana na utata uliopo

Mapenzi kupendana pesa ufundi vyote mbwembwe tukama unampenda na hajui kujituma kwa kitanda utamuacha nina hakika wewe kama utakua mstar wa mbele kumwelekeza ikiwa tu unampenda kwa dhat ya moyo wako ila nenda unakoenda mapenz hayana mwenyewe naweza kua fundi still nisikupende vilevile
 

Attachments

  • 1431668691639.jpg
    1431668691639.jpg
    23.6 KB · Views: 576
  • 1431668793222.jpg
    1431668793222.jpg
    31.3 KB · Views: 528
kama mapenzi ufundi bas aende VETA

mapenz pesa bhana
 
Habari mwana forum mwenzangu wa MMU. Jana nimetumiwa wimbo wa diamond na Ney wa mitego wakibishana kuwa mapenzi ni ufundi na mwingine anasema pesa. Nikaamua kumtafuta swahiba wangu kumuuliza na kilichotokea ni kuwa na sisi tukawa tumepishana mtazamo. Sasa nalileta kwenu tulizungumze.

Kwa upande wangu naona mapenzi ni ufundi. Kuna huu msemo "Ukiona dada kaolewa, jua dada kanogewa". Na mwanamke akifuata pesa katika mahusiano ni rahisi sana kucheat kuliko aliyekubali kuwa na maskini lakini ni fundi katika ulingo. Vipi wewe?

Mapenzi unafiki tu hamna lolote.
Tuna fake love, fake orgasm, fake romance na kila kit feki isipokuwa mizinga tu ndio iko genuine
 
Ukiwa mtu mzima inabidi utoe pesa, ukiwa kijana ufundi kama unafanya kinyume cha hapo watakucheka watu
 
Ni vyote na bahati mbaya huwezi kuwa navyo vyote kwa sababu unavijua vyote
 
Mapenzi pesa bwana huo ufundi nitakufundisha tu labda uwe mkaidi....et mapenzi ufundi unalipa bili huo ufundi????
 
Mapenzi kupendana pesa ufundi vyote mbwembwe tukama unampenda na hajui kujituma kwa kitanda utamuacha nina hakika wewe kama utakua mstar wa mbele kumwelekeza ikiwa tu unampenda kwa dhat ya moyo wako ila nenda unakoenda mapenz hayana mwenyewe naweza kua fundi still nisikupende vilevile

Nahisi nimeanza kukuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom