hahahahah!Hivi mapenzi yana formula ambayo unaweza ukaitumia?
Kwanini mapenzi yanakosanisha watu na kujenga uhasama?
Je kuna haja ya kuyaendeleza mapenzi jamani?
hahahahah!
We mkuu inaonekana YOU HAVE SOMETHING IN YOUR HEAD WHICH IS EATING YOU UP!we sema tu
Mapenzi jamani wanasema ni matamu utamu wake ni upi?
Mapenzi ni shubili wengine wanadai,shubili yake ni ipi?
Mwanajamii,Masanilo,Yo Yo,Msanii,Kaizer,Mbu,WOS,Nyamayao,Penny mpo wapi jamani mnisaidie sielewi nini maana ya mapenzi.
Mapenzi jamani wanasema ni matamu utamu wake ni upi?
Mapenzi ni shubili wengine wanadai,shubili yake ni ipi?
Mwanajamii,Masanilo,Yo Yo,Msanii,Kaizer,Mbu,WOS,Nyamayao,Penny mpo wapi jamani mnisaidie sielewi nini maana ya mapenzi.
Mapenzi jamani wanasema ni matamu utamu wake ni upi?
Mapenzi ni shubili wengine wanadai,shubili yake ni ipi?
Mwanajamii,Masanilo,Yo Yo,Msanii,Kaizer,Mbu,WOS,Nyamayao,Penny mpo wapi jamani mnisaidie sielewi nini maana ya mapenzi.
... mapenzi ni pamoja na 'uchoyo' wa roho kutaka "umtakaye" awe wako peke yako, kwa hali yeyote ile iwayo hata kama itabidi udhalilike mbele ya jamii inayokuzunguka.
... mapenzi ni pamoja na 'uchoyo' wa roho kutaka "umtakaye" awe wako peke yako, kwa hali yeyote ile iwayo hata kama itabidi udhalilike mbele ya jamii inayokuzunguka.
nimeipenda
Eh sasa Fidel ndugu yangu unatutega
Kusema kweli kwa experience yangu naweza sema mapenzi ni vyote utamu na shubiri.
Hehehehe Mbu umeniacha hoi hapo kwenye uchoyo.
Duh mtu hata kama anamiliki nyumba kubwa,nyumba kati na nyumba ndogo anataka amege zote yeye mwenyewe amfumanie timbwili lake hapo hehehe sasa hao wote 3 wamzubili mzee mmoja inawezekana kweli?