Mapenzi ni kitu cha ajabu sana

Mapenzi ni kitu cha ajabu sana

Daisy Llilies

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,017
Reaction score
2,163
Walioana wakiwa wafanyakazi kazi wote wawili, walizaa watoto wawili. Baadae mwanaume aliondoka aliondoka nyumbani.. Yule mama alihangaika kulea watoto, si haba alifanikiwa kuwasomesha watoto na wakati huo Baba amepata binti mdogo anaishi nae.

Watoto walikua wakubwa na alimpata bwana mwingine alizaa nae watoto wawili wengine. Yule bwana alifariki. Katika mirathi kwakua mwanaume hakuwa na watoto wengine yule mama alikabidhiwa mali zote za marehemu, ikiwemo nyumba mbili, mashamba na guesthouse.

Yule mume wake wa ndoa ambae hawakuachana kwa talaka. Alipata matatizo ya kesi, aliuza mali zake zote ili apigane kesi yake. Alishindwa kesi na kufungwa miaka miwili jela. Alipotoka jela hana pa kuanzia yule mama alimkaribisha wayaanze.
 
Unaandika haraka kama vile kuna mtu anakupigia stori na wewe ndiyo unatype.

Halafu anayekupigia stori ni Twista.
 
Unakimbizwa na shetani au unaunguza jikoni?

Mwanaume wa ndoa aliondoka kwenda wapi?

Kama si chai basi psychopathic illness.
Walioana wakiwa wafanyakazi kazi wote wawili, walizaa watoto wawili. Baadae mwanaume aliondoka aliondoka nyumbani.. Yule mama alihangaika kulea watoto, si haba alifanikiwa kuwasomesha watoto na wakati huo Baba amepata binti mdogo anaishi nae.

Watoto walikua wakubwa na alimpata bwana mwingine alizaa nae watoto wawili wengine. Yule bwana alifariki. Katika mirathi kwakua mwanaume hakuwa na watoto wengine yule mama alikabidhiwa mali zote za marehemu, ikiwemo nyumba mbili, mashamba na guesthouse.

Yule mume wake wa ndoa ambae hawakuachana kwa talaka. Alipata matatizo ya kesi, aliuza mali zake zote ili apigane kesi yake. Alishindwa kesi na kufungwa miaka miwili jela. Alipotoka jela hana pa kuanzia yule mama alimkaribisha wayaanze.
 
Unababaika nini sasa, huwezi kutulia ukaandika?
 
Kwa hiyo huyo mama ejifanya mhimili mwingine eehhhh....!!??
 
Mbona stori inaeleweka watu mnamanda mweka mada bure au mlitaka aanze na kile kibwagizo cha hadithi njoo uongo njoo utamu kolea😎
 
Back
Top Bottom