Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,589
- 3,639
Ni kitu ambacho sikutarajia kingetokea..!
Baada ya kuvutiwa nae, na kufanya juu chini, kupata namba yake ya Simu, nilijaribu kufunguka kwa binti huyu, na (sijui Mungu au Shetani) kwa bahati nzuri nae akaelewa somo.
Tuna mawasiliano na mahusiano mazuri tu, imefikia vijana na wazee mtaani kwangu, KUNG'AMUA kinacho endelea kati yetu.
Vituko, na hiki ndicho chanzo cha kuleta Uzi huu (pengine) kwa ushauri...!
Binti kachanganyikiwa na mimi, sijui sababu, kwani ni bora ningemkuta bado ana USICHANA wake...ningesema ni mgeni wa mapenzi.
Nilikuwa na ratiba/order ya kula chakula kwa Mama nitilie, binti kaniambia nisihangaike, chakula anatoka nacho kwao...!!
Binti apungui gheto, akijua nimerudi tu kutoka katika Mishe zangu za daily....atabeba Nguo chafu na kwenda Nyumbani kwao kuzipiga SOAP...!
Kibweka kikubwa ni hiki sasa...! baada ya kubaini kuwa napendelea swala la ufugaji, najihusisha na mifugo kama Njiwa, Sungura, Bata pamoja na Kuku.
Leo hii narudi home, nimekuta ameniletea Kuku wa kienyeji wapatao 10 (kumi)
Kweli nilifurahia sana, mshangao ulikuja baadae, baada ya kugundua ameniletea MAJIKE 5 na JOGOO 5.
Nilipo mueleza umuhimu katika kuchagua kwake, angeniletea Majike angalau 8 na Madume mawili tu (nadhani kwa wafugaji wataelewa mantiki)
Kwa jibu rahisi alinijibu, "SASA HAWA WENGINE WATAPENDWA NA NANI.."?
Akimaanisha hakuna uwiano wa Majike wanne kwa Dume moja...!!
Nilimcheka...amenichukia mpaka muda huu...!!
Naombeni ushauri, nimpe somo gani..?
Nipo nashuhudia tu vita na ugomvi wa MAJOGOO....
Baada ya kuvutiwa nae, na kufanya juu chini, kupata namba yake ya Simu, nilijaribu kufunguka kwa binti huyu, na (sijui Mungu au Shetani) kwa bahati nzuri nae akaelewa somo.
Tuna mawasiliano na mahusiano mazuri tu, imefikia vijana na wazee mtaani kwangu, KUNG'AMUA kinacho endelea kati yetu.
Vituko, na hiki ndicho chanzo cha kuleta Uzi huu (pengine) kwa ushauri...!
Binti kachanganyikiwa na mimi, sijui sababu, kwani ni bora ningemkuta bado ana USICHANA wake...ningesema ni mgeni wa mapenzi.
Nilikuwa na ratiba/order ya kula chakula kwa Mama nitilie, binti kaniambia nisihangaike, chakula anatoka nacho kwao...!!
Binti apungui gheto, akijua nimerudi tu kutoka katika Mishe zangu za daily....atabeba Nguo chafu na kwenda Nyumbani kwao kuzipiga SOAP...!
Kibweka kikubwa ni hiki sasa...! baada ya kubaini kuwa napendelea swala la ufugaji, najihusisha na mifugo kama Njiwa, Sungura, Bata pamoja na Kuku.
Leo hii narudi home, nimekuta ameniletea Kuku wa kienyeji wapatao 10 (kumi)
Kweli nilifurahia sana, mshangao ulikuja baadae, baada ya kugundua ameniletea MAJIKE 5 na JOGOO 5.
Nilipo mueleza umuhimu katika kuchagua kwake, angeniletea Majike angalau 8 na Madume mawili tu (nadhani kwa wafugaji wataelewa mantiki)
Kwa jibu rahisi alinijibu, "SASA HAWA WENGINE WATAPENDWA NA NANI.."?
Akimaanisha hakuna uwiano wa Majike wanne kwa Dume moja...!!
Nilimcheka...amenichukia mpaka muda huu...!!
Naombeni ushauri, nimpe somo gani..?
Nipo nashuhudia tu vita na ugomvi wa MAJOGOO....
