Daaah! Maisha ya siku hizi bila mapenzi mbele hamna chochote. Haswa sisi vijana tunaendekeza sana mapenzi kuliko chochote kile. Kwa atkaye pinga kuhusu hli acoment na awe na vthbitsho tosha vya kunfany nkubar
unajua mapenzi ni jinsi utakavyo yahandle. kama utatongoza pesa mbele utampata wa pesa mbele. ukweli mapenzi sio pesa. mapenzi yangekuwa ni pesa matajiri wasingepeana taraka au kutengana. mia