Mapenzi hayathaminiwi kabisa siku hizi

Mapenzi hayathaminiwi kabisa siku hizi

Brother, asikudanganye mtu humu ndani kwamba pesa ndo suluhu. Watu wanapesa zao na wanazitoa sana kwa women wao na bado wanasalitiwa kirahis tu na machizi wa kitaa. Huwezi ukapigana na hisia za mwanamke. Hivyo ukiona moyo wa mwanamke wako ume-divert, msindikize kabisaa asepe. So, unachohitaj ni kuomba Mungu tu upate yule ambaye atakupenda wewe kama wewe in such a way she can see the gold inside of you that no one else could see. Akikupenda kweli, muda wa kutafuta mchepuko atautumia kukurekebisha wewe ili umeet kile unachomis. Thats all.
 
Kusoma hujui hata picha au wewe kipofu.

Nikupende umekuwa Mungu au Yesu wewe au wale walionileta duniani.

Hapa pesa mbele wewe ndo utafuata huna na upendo wangu hupati.
heri umekua wazi pesa kiasi gani zinakutosha sassa
 
Brother, asikudanganye mtu humu ndani kwamba pesa ndo suluhu. Watu wanapesa zao na wanazitoa sana kwa women wao na bado wanasalitiwa kirahis tu na machizi wa kitaa. Huwezi ukapigana na hisia za mwanamke. Hivyo ukiona moyo wa mwanamke wako ume-divert, msindikize kabisaa asepe. So, unachohitaj ni kuomba Mungu tu upate yule ambaye atakupenda wewe kama wewe in such a way she can see the gold inside of you that no one else could see. Akikupenda kweli, muda wa kutafuta mchepuko atautumia kukurekebisha wewe ili umeet kile unachomis. Thats all.

:coffee:
 
Nadhani ni ile misemo ya watoto wa mjini, siku hizi wanasema mapenzi pesa sjui mapenz kitu gani! Kwamba maua mpelekee kipepeo sjui, romance mpelekee njiwa!

Lakini nnachotaka kusema hapa no kuwa ile role ya mapenzi kwishney kabisa, if still exists very rare and to very few human beings, men to women utulivu ziro hata kwa usiowafikiria unaowaona wametulia ubinafsi mwingi!

Hakuna shukrani! hakuna fadhila.

Unakutana na mdada unampenda,unaanza nae mahusiano, unamwonyesha total love, vety responsible love, highly committed! Unamjali kuanzia yeye hadi ndugu zake, humpi kupumua kwa kumwonyesha mapenzi mfululizo.

Inapokuja wewe unauhitaji hata wa faraja tu kutokana na matatizo ya kidunia labda unauguliwa na mama au mwanafamilia yeyote pale ulipozaliwa, unategemea atakuwa na wewe bega kwa bega, ndipo unakutana na vituko.

Inakatisha tamaa sana, kwani mapenzi tuyaonayo kwenye tamithilia hatujifunzi? Au hayawezekani? Kinachoshindikana ni nini hadi tuweke slogan ya kuvumili
 
Nadhani ni ile misemo ya watoto wa mjini, siku hizi wanasema mapenzi pesa sjui mapenz kitu gani! Kwamba maua mpelekee kipepeo sjui, romance mpelekee njiwa!

Lakini nnachotaka kusema hapa no kuwa ile role ya mapenzi kwishney kabisa, if still exists very rare and to very few human beings, men to women utulivu ziro hata kwa usiowafikiria unaowaona wametulia ubinafsi mwingi!

Hakuna shukrani! hakuna fadhila.

Unakutana na mdada unampenda,unaanza nae mahusiano, unamwonyesha total love, vety responsible love, highly committed! Unamjali kuanzia yeye hadi ndugu zake, humpi kupumua kwa kumwonyesha mapenzi mfululizo.

Inapokuja wewe unauhitaji hata wa faraja tu kutokana na matatizo ya kidunia labda unauguliwa na mama au mwanafamilia yeyote pale ulipozaliwa, unategemea atakuwa na wewe bega kwa bega, ndipo unakutana na vituko.

Inakatisha tamaa sana, kwani mapenzi tuyaonayo kwenye tamithilia hatujifunzi? Au hayawezekani? Kinachoshindikana ni nini hadi tuweke slogan ya kuvumili

Shy land
sjakupata ulitaka kusema nn
 
Last edited by a moderator:
Sometimes nyie ndo huwa sababub ya Kuvunjika kwa hayo mapenz, mtu ukimuonyesha mapenz cdhan kama atakuacha kirahc hivo bila sababu

Sijaachwa ispokuwa nimefanywa charity si charity, kuleana si kuleana,
labda ni km nimefanywa kuwa asset ya mtu, kutumiwa vizuri au vibaya ni uamuz wa mwenye mali
 
Back
Top Bottom