kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 8,077 Reaction score 15,378 Feb 14, 2016 #2 zamani sana hiyo
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 61,558 Reaction score 74,370 Feb 14, 2016 #3 Mpaka Kifo Hapo
TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 15,265 Reaction score 25,538 Feb 14, 2016 #4 Mpaka nguo ilikuwa salesale, upon time ilikuwa full shangwe aseee!!
Ummesh JF-Expert Member Joined Dec 20, 2015 Posts 2,077 Reaction score 1,144 Feb 14, 2016 #5 Hii ni changamoto kwa kizazi cha kidigitali.
mxsdk JF-Expert Member Joined Aug 11, 2014 Posts 3,585 Reaction score 2,056 Feb 14, 2016 #6 Kwa dunia ya sasa ivi...hakuna kitu km icho kabsa 100%
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 73,244 Reaction score 103,356 Feb 15, 2016 #7 Sasa hayachagui vp wakati unaona hao washazeeka pamoja
love more than100 JF-Expert Member Joined Jan 27, 2014 Posts 2,061 Reaction score 715 Feb 15, 2016 #8 Mradi tu ufikishwe panapofaa
manuu JF-Expert Member Joined Apr 23, 2009 Posts 4,064 Reaction score 10,748 Feb 15, 2016 #9 Kizazi hichi hakuna anaetaka uzee kila mmoja anataka aendelee kuitwa baby.....Watu wanashinda gym na kupambana na makeup na maviatu yenye visigino virefu hadi balnce wanakosa kabisa ya kutembea ila wanapambana tu
Kizazi hichi hakuna anaetaka uzee kila mmoja anataka aendelee kuitwa baby.....Watu wanashinda gym na kupambana na makeup na maviatu yenye visigino virefu hadi balnce wanakosa kabisa ya kutembea ila wanapambana tu
Wonderful JF-Expert Member Joined Apr 8, 2015 Posts 7,347 Reaction score 6,000 Feb 15, 2016 #10 Wazazi wako wanapendana jamani.
SPECIAL TMN JF-Expert Member Joined Jan 3, 2014 Posts 1,150 Reaction score 899 Feb 15, 2016 #11 Hiyo ni amaizing mkuu.
kabanga Platinum Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,580 Reaction score 18,952 Feb 15, 2016 #12 Ndio....
Sadatina Member Joined May 11, 2015 Posts 99 Reaction score 43 Feb 15, 2016 #13 Wamependana muda mrefu mpaka wanafanana sura