Mapenzi haya wakati mwingine ni kujitesa tu

Mapenzi haya wakati mwingine ni kujitesa tu

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
37,365
Reaction score
91,926
Unakuta msichana mdogo tu kavaa kitenge, kanga, gauni bwanga kama anazuia mimba isionekane, yaan hivyo vyote kavaa kwa pamoja na remba kichwani na yeboyebo au skuna. Ukiuliza unaambiwa ndo vaa yake tangu aolewe na yule mbaba. Yaani kujivika kote huko manguo ili aonekane MTU mzima na kupunguza aibu za kuongozana na huyo waliyezidiana 25 yrs.

Mmama nae na 45 yake kavaa kimini kimembana mpaka unatamani umtafutie oxyg aongezewe hewa apumue vyema, na kitop cha haja apo tumbo limezidi nguo ivo laning'inia na mchuchumio juu, na tinted kabisa kisa tu afanane kidogo muonekano na huyo 21 boy wake.

Kijana mkaka sasa, ndo tobaa, hiyo suruali ya kitambaa ukubwa wake ule mfuko wa mashineni unauhafadhali, shati pepe kale akabane kwa Fundi, viatu vimempwaya ili tu afanane muonekano na 56 mom wake.

Siteseki ila naona mnateseka kujinyima uhuru. Ukiamua kudate na mliyezidiana kimwonekano embu baki kwenye umri wako, la sivyo tutafute size zetu aisee.
 
images (2).jpeg

Pesa ikiwepo hakuna linaloshindikana hata plastic surgery inaaeza husika kuendana na partner wako...
 
Shida ni pale kama kuna mtu anaona kaonewa. ila kama ni kupenda kwao acha Mapenz yaendelee kuwa na Nguvu
Hakika,ila wasijizeeshe sana wala kujibebisha sana mkuu....yaan mama anataka asivae hata nguo
 
Hao ni vijana wa mkoa gani mkuu unaowaona? Nilikuwa dar mwezi fulani hotel niliyofikia nikaenda restaurant ya hotel kula!!!!

Aisee nilikuta bonge la bibi wa kizungu na kijana mdogo sana mpaka yule dogo alikuwa kama ana aibu ivi!!! Na muhaho nilioupata ni pale bibi anazama anatoa kibunda analipa bill then wakapanda juu room!!! Usiku natoka niingie mitaa ya sinza nikale nakutana na wao wanatoka nikajua room yao na yangu zinatazamana!!!

Sasa ile night kali bibi alikuwa anapelekewa moto sio poa yani sio poa zile kelele sijui alikuwa anamfanya nini bibi wa watu

Lakini dogo alivaa vizuri tu sio pepee kalee
 
Hao ni vijana wa mkoa gani mkuu unaowaona? Nilikuwa dar mwezi fulani hotel niliyofikia nikaenda restaurant ya hotel kula!!!!

Aisee nilikuta bonge la bibi wa kizungu na kijana mdogo sana mpaka yule dogo alikuwa kama ana aibu ivi!!! Na muhaho nilioupata ni pale bibi anazama anatoa kibunda analipa bill then wakapanda juu room!!! Usiku natoka niingie mitaa ya sinza nikale nakutana na wao wanatoka nikajua room yao na yangu zinatazamana!!!

Sasa ile night kali bibi alikuwa anapelekewa moto sio poa yani sio poa zile kelele sijui alikuwa anamfanya nini bibi wa watu

Lakini dogo alivaa vizuri tu sio pepee kalee
😂😂😂😂ulikutana na anaejitambua
 
Back
Top Bottom