Mapenzi: hakutaka kugombana na mwanamke mwenzie

Mapenzi: hakutaka kugombana na mwanamke mwenzie

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,100
Reaction score
831,745
Inawezekana kabisa ni video ya mchongo lakini nyuma yake imebeba uhalisia mwingi na fundisho kubwa
. Mwanadada kafanya fumanizi na panga mkononi
. Hakumgusa mwanamke mwenzake bali bwanaake ambaye alikula bonge la kelebu
. Mdada aliyefumaniwa alitimua mbio kali Sana
. Mfumaniaji kajaa utemi kampokonya mwamaume kila kitu kisha kamtimua

Je unaweza kuoa mwanamke kama huyu?😂
NB: inawezekana jamaa ni marioo na mwanamke ndio breadwinner wa familia
 
Ubabe wa mwanamne huisha pale anapofumaniwa hata awe baunsa yaan jitu la miraba minne mara nne yaan kumi na sita anarudi kuwa mdogo kama piriton
 
Ubabe wa mwanamne huisha pale anapofumaniwa hata awe baunsa yaan jitu la miraba minne mara nne yaan kumi na sita anarudi kuwa mdogo kama piriton
Kwa kitandani sawa lakini sio nje labda kama unafugwa😀
 
Kuna mambo yanafurahisha sana...


Cc: Mahondaw
 
Kuna rafiki yangu mmoja wa kiume alifumaniwa mkewe akampiga sana

Baadae nakuja kumuuliza wewe miguvu yote hii umepigwaje akaniambia "Jane mwenzio muda ule nilikuwa sielewi elewi imekuaje kiufupi akili ilihama pale kabisa"
 
Back
Top Bottom