Yahemovich
Senior Member
- Jan 20, 2011
- 170
- 3
Jamani kunajamaa yangu alimpata binti mmoja miezi minne iliyopita wakapeana sana maluv duvi sasa wameachana ghafla jana amepigiwa simu na dada yake wakati wakiagana akaambiwa "msalimie wifi yangu" akajibu kuwa ashamwacha kwasababu alianza kujifunza uongo dada yake akamwambia "wanaume wakichaga ndivyo mlivyo, hamjui mapenzi" sasa Je ni kweli wanaume wakichaga hawajui mapenzi?