Ila mambo ingine tuwe tukifikiria kidogo. Umekuwa samaki??? Miye nikifikia mshindo huwa nahema kwa nguvu sana tena haraka sasa, nikiwa huko chini kwenye maji, si binti wa watu atajikuta na RB ya mada jamani? Ptuuu. Sifanyii humo majini. Kwenye ufukwe sawa lakini majini, nimekuwa nguva?
sabato boss wangu
Ahaa haa jumapili...mpendwa
poapoa! si tutaenda mpaka kule kati eenh
Mpendwa tutaenda wala usijali.
Ila umekuwa adimu mpendwa. Why
Nilipatwa na majanga tu ndugu mpaka nikatamani Mungu achukue roho yangu nipumzike dunia but now am orlyt
Pole mpendwa,
Nliona kimya nkatamani nikuje pm, but nkawa sina kibali. Nkawa nasali na kuomba tu urudi salama,
Mungu ni mwema.
Ila mambo ingine tuwe tukifikiria kidogo. Umekuwa samaki??? Miye nikifikia mshindo huwa nahema kwa nguvu sana tena haraka sasa, nikiwa huko chini kwenye maji, si binti wa watu atajikuta na RB ya mada jamani? Ptuuu. Sifanyii humo majini. Kwenye ufukwe sawa lakini majini, nimekuwa nguva?
Amen!Mungu wetu anaishi mpendwa, asante kwa maombi yako yamekuwa msaada wa mimi kusimama tena.
Mungu akubariki
chumbani wakaribishwa wakati wowote
Ukiingia tu baharini maji yakigusa naniliu ni full genye
Anakuwa anaakili za samaki je mkifanya kwenye mvua atakuwa na tabia za kihindi hotaehotae au vipi
iman nyengine bana hamna lolote ila fanya yote sio saa saba mchana au usiku
Maji ya mto yanatembea so katoto katakuwa katembezi Ile mbaya. Ukiziba mlango kanapita wa nyumaNa pembeni ya mto kuna madhara shem?
dwuh... mapenzi ndani ya maji!!? kweli uzee umenijia vibaya sikuwai kuliwaza hili