Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 278
Hawayuni?
Kipindi hiki cha likizo ndefu Kenya na haswa watu wanaposherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya watu wengi hupenda kutembea baharini kama Mombasa.
Wengi hupenda kuogelea na wapenzi wao na hata wengine kufikia hatua ya kutaka kufanya mapenzi baharini tena ndani ya maji.
Nimesikia ya kuwa mwanamke akifanya mapenzi baharini na apate mimba, mtoto huyo huwa na mapepo, au hata kuwa na akili za kishetani shetani kwa sababu bahari imejaa majini, mapepo na hata mizimu.
Hivi hizi ni fununu za ukweli au ni vioja tu wakuu?
Kipindi hiki cha likizo ndefu Kenya na haswa watu wanaposherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya watu wengi hupenda kutembea baharini kama Mombasa.
Wengi hupenda kuogelea na wapenzi wao na hata wengine kufikia hatua ya kutaka kufanya mapenzi baharini tena ndani ya maji.
Nimesikia ya kuwa mwanamke akifanya mapenzi baharini na apate mimba, mtoto huyo huwa na mapepo, au hata kuwa na akili za kishetani shetani kwa sababu bahari imejaa majini, mapepo na hata mizimu.
Hivi hizi ni fununu za ukweli au ni vioja tu wakuu?