Mapato ya Gold Yako Wapi? Raslimali za Tanzania Zinafaidisha Foreign Companies na CCM

niweze

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
1,008
116
Wananchi Tusome Hiii Sehemu ya Article Hapa Chini. Tutaona Migodi Mingapi Tunayo na Faida Haionekani. Kitu Kikubwa ni Kutafuta Hii Mikataba Ili Tuone Iliandikwa na Details Zipi? Ukweli ni Kwamba Hii Mikataba Inamajina ya Mkapa, Chenge, Lowasa, JK na Mafisadi Wengi. Haiwezekani Mapato Yakafichwa na Kuwa Siri Kiasi Hiki. Kikubwa Tunataka Kuelimishana Jinsi Gani Serikali Zilizopita za CCM na Hii ya JK Zinavyo Tumia Mapato ya Taifa Vibaya. Hatuwezi Kuwa na Migodi 20 Active ya Gold na Mingine Hapa Serikali Imetoa au Wamelease 100% Kwa Baadhi ya Makampuni. Kama Huu Sio Upuuzi ni Nini na Licenses Zilizotolewa Karibu Mia Sasa, Matunda Hayaonekani. Hii Migodi Inakusanya Taxes na Zingine Tunapata Funds Kutokana na Mauzo ya Gold. Cost of Production na Operations za Haya Makampuni Zipo Chini Sana na Kikubwa Wafanyakazi Wanalipwa Kiasi Kidogo. Kitu Kikubwa Tukifuatilia Haya Makumpuni Inawezekana Hayalipi Kodi au Wanalipa Kiasi Kidogo Sana na Kibaya Zaidi Equipments Wanazo Import Hawalipii Customs au Wanapata Waivers. Tukiangalia Solutions kwa Hili Swala la Uchumi ni "Katiba Mpya" Tutaweza Kuwapa Bunge na Wananchi Nafasi ya Kuchunguza na Kufuatilia Mapato na Kuondoa Siri Ndani Taifa. Upungufu Mwingine wa Viongozi wa CCM ni Kushindwa Kuelimisha na Kuredirect Future Ownerships na Capabilities za Wananchi. Mpaka Lini Taifa Litategemea Equipments na Resources za Kuendeleza Raslimali Zake? Mchumi Yeyote Atakueleza Lazima Kujenga Taifa kwa Kujenga Ownerships Within the Country. Hasara ya Taifa la Tanzania na Viongozi wa Africa Tunaona Bei za Minerals Zinapanda (Current Gold $1500/Pounce) Ila Anaenufaika na Mpangaji Bei Wako UK na US. Shame on African Corrupt Leaders. Kwanza Tupate Katiba Yetu Sio Hii ya Mafisadi na CCM.

[SIZE="1"]Striking Gold in Tanzania
Email Print
Mon, Dec 20, 2010
Tanzania is the third largest producer of gold in Africa after South Africa and Ghana and is also well known for the Tanzanite gemstones. In addition to gold, the country has expansive amounts of natural resources including gas,uranium, diamonds, coal, iron ore,nickel, copper, chrome, tin,platinum, coltan, niobium, kaolin and other minerals.
Mining and Exploration Developments
Under a subsidiary, Barrick Gold Corp. (TSE: ABX) operates four producing mines in northwest Tanzania: North Mara, Bulyanhulu, Tulawaka and Buzwagi. Last year the company reported 16.8 million ounces of proven and probable gold reserves and the company currently maintains exposure to 2 exploration properties within Tanzania. Production in 2009 was 716,000 ounces of gold at total cash costs averaging $545 per ounce. In late November, Barrick was featured among the top 100 companies in the world for its sustainability, reporting and performance by the NASDAQ Global Sustainability Index. Currently, Barrick is the only Canadian mining company included in the recent semi-annual listing of leading companies.
South Africa based, top producing gold miner AngloGold Ashanti (NYSE:AU) owns the Geita open pit mine located in the Geita District of the Mwanza Region. The Geita operation under performed in 2009, producing 272,000 ounces of gold for the year, short of the anticipated 315,000 ounces. Earlier in March of 2010, an incident with a number of robbers attempting to acquire explosives raised some questions in regards to the security at the mine. The company continues drilling a brownfield exploration program with a total of 16,727 meters drilled last year.
Resolute Mining Limited (ASX:RSG) operates the Golden Pride mine located 750 kilometers northwest of the port of Dar es Salaam and 200 kilometers south of Lake Victoria. Last year the Golden Pride gold mine produced 148,675 ounces at a cash cost of $488 per ounce. The company also operates productive mines in Australia and Mali. Resolute expects this year will demonstrate an increase in gold production with ore grade from the open pit increasing as fresher ore becomes exposed from a central pit.
Shanta Gold Limited (LON:SHG) is an exploration and development company, with a portfolio of four projects consisting of 40 prospecting licenses, covering a total surface area of approximately 1,394 square kilometers. Last week the company announced the completion of a preliminary feasibility study (PFS) and the submission of three mining license applications and an Environmental and Social Impact Assessment Scoping Report for the Singida mining project in central Tanzania. The company reports that the PFS confirms its project is viable and Shanta is proceeding with a full detailed feasibility study which it anticipates to be completed by the end of June.
Canaco Resources Inc. (CVE:CAN) is an exploration company with two claims totaling 196 square kilometers, comprising the Handeni Gold Project. The project is located in the Tanga Region of northeastern Tanzania, 130 kilometers north northeast of the city of Morogoro and 30 kilometers south of the town of Handeni.
Lake Victoria Mining Company (OTC:LVCA) has 8 gold exploration projects, consisting of 34 prospecting licenses in addition to a suite of uranium properties. The focus of the company is to acquire prospecting licenses that can potentially be developed into proven reserves or productive gold mines.
Questions about this article? Leave a comment below or contact our editorial team ateditor@resourceinvestingnews.com.
[/SIZE]
 
Back
Top Bottom