Mapatano ya CUF na CCM Zanzibar


Kwani uwo umeme mnatugaia?Nafikiria umeme wa Tanganyika wanapewa zenji bure, ni mara ngapi Zenji imelinda soko la Tanesco huko visiwani?

Acha pumba wewe....Zanzibar ni kama client wa Tanesco, na hii wadanganyika wengi wamekuwa wakiona kama ndio wameshika mpini kuwa wanauza umeme visiwani humo.

Aminia CUF wakiingia madarakani tunatafuta chanzo chengine cha umeme, tushachoka na migao na milipuko!
 
muungano na ufe,sie watanganyika tumeuchoka sasa,tuwaachie vijisiwa vyao tuone hayo maendeleo wanayoyaota period.
poa tu, muungano ufe.kabla ya muungano zanzibar ilikua poa tu...huu muungano wa kulazimishana hatuutaki...MUUNGANO WA KUTIANA NJAA...
KILA MTU AANGALIE MPANGO WAKE...
 
mimi sioni manufaa yeyote yale ya muungano...huu muungano unaiangamiza zanzibar...maendeleo ya zanzibar yemerudiswa nyuma miaka 30...watanzania amkeni,huu muungano unawanufaisha kundi l a watu fulani lakini waliowengi umewaletea taabu tu ya maisha...muungano ufe kila mtu aangalia mpango wake...watanzania amkeni...muungano wa kulazimishana sio muungano...poa tu cuf ishinde znz halafu wasimame kudai haki za zanzibar...hao wanaoongoza tanzania ,tanganyika imewashinda na sasa wanalazimisha zanzibar iingie katika janga lao la ufisadi. Bila ya muungano zanzibar ingekua mbali sana...
 
Inashangaza sana Tanganyika kuwa ni nchi masikini ya kutupwa, ina mikoa na watu huko wanahitaji kushughulikuwa na serekali.

Halafu ati wanataka kufakamia matatizo mengine ya visiwani.Hebu shughulikieni huo umasikini wenu kwanza huko mikoani.

Hivi mumeshindwa kuondosha umasikini ndani ya nchi yenu wenyewe huko mikoani, ndio mutaweza kuleta maendeleo Zanzibar?

Nyie wenyewe munahitaji msaada kutoka nje ili muendeshe nchi, sasa hivi kusema munataka kuisadia nchi nyengine ya Zanzibar si ni vioja hivi?Mtu hushughulikia kwake kwanza, halafu ndio ataanza kutoa misaada kwengine.

Wadanganyika kazi kupumbazwa tuu na viongozi wao, mwanzo walichemshwa na Nyerere weeee...hadi wakawa wanakufa njaa...

Sasa wanapumbazwa na JK kwenye mabembea....huko Jamaica!
 
hakuna mzeji hata mmoja anaetaka muungano...na huo umeme wa tanesco haupelekwi buru zanzibar...hii ni biashara tanesco wanauza umeme zanzibar...kabla ya hapo zanzibar umeme ulikuwepo...kwahiyo huu umeme isiwe sababu ya kuitawala zanzibar...muungano uvunjike kila mtu aangalie mpango wake...muungano=ngaa,taabu na maisha mabovu...

 
Ama kweli katika watu wanaopoteza muda wao katika bolog hii wewe ni mmoja wao tena waongea utumbo kabisa. Tukio la Mwembe chai limesabaisha maafa makubwa watu walipoteza ndugu zao na baadhi ya watu leo hii ni vilema, vipi tena uwapongeze watu waliofanya hivyo au kuunga mkono tendo hilo? Kama huyo Mungu wako Pengo alifurahia tukio hilo ni kwa sababu yeye ni Mkatoliki na Kanisa lake laungwa mkono zaidi na serikali ya kitwahuti Tanzania ikilinganiswa na Makanisa mengine.
Isitoshe swala la CUF na CCM ni la kisiasa na si la kidini, kwa hivyo hao Mungu zako hawana nafasi katika hilo kwani kufanya hivyo kwao ni kuchanganya dini na siasa.Upo hapoo!!!!!!!!? Isitoshe wafaa kutambua kuwa ugonvi wa CUF na CCM ni wa Ngedere na Kima .Maalim Seif ni Kada wa CCM kupitia mlango wa nyuma na wengi wetu wenye akili timamu na upembuzi wa mambo twalifahamu hilo kasoro wewe peke yako .Anachofanya ni ku buy time wana Cuf wazidi kuhadaiwa kila kukicha na huyo Maalim Seif, na haijulikaniki ni lini wana CUF watathibitishiwa ushindi huko Zanzibar na iwapo itatokea hivyo maana yake ndiyo mwisho wa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar, na Huyo maalim Sef wako pamoja na viongozi wengine wa serikali zote mbili walifahamu hilo fika. Hivyo si rahisi kupatikanika muafaka wenye lengo la kuwanusuru Wazanzibar bali ni hadaa toto tu mradi siku za songa mbele na yeye Seif apata mradi wake wanawe wote wasoma Ulaya swala hilo twalijuwa wazi ,nyinyi akina jungu lihogo mwazid kutiana ngeu kila kukicha, shauri zenu-kalaga baho na uboze wenu.​
 
Usipoteze muda wako kwa siasa za CUF na CCM , ni vyema ukahangaikia fungu lako la muhogo ule na wanao swala la Seif na Dr Karume halina maslahi si kwa wa Tanzania bara wal Visiwani. Shida yetu ni Umeme, Elimu bora na si mradi bora Elimu, maji safi na salama, huduma za afya na mawasilano bora na ya kudumu ikiwemo na swala la ajira.Haya ndiyo mambo ya msingi kwa wa Bongo siyo kuomba msaada kwa pengo kuunga mkono upuuzi, ni vyema ukawashauri hao viongozi wako wa dini wazid kuwapigia kelele serikali ya Bw Kaujanja-Kikwete, mzee wa pindika pindua leo asema hili kesho lile,il abadirishe tabia ya ufisadi na alete maendeleo ya kweli kwa kushirikiana na hayo Dr Karume.
 
Pindi mtoa mwana JF aandikapo hapa ukumbini, cha kwanza mimi nathamini zile dakika 2...3...... alizozitumia hapa ukumbini. Na kwa mantiki hiyo, leo napenda kukupongeza kwa muda ulioutumia hapa JF, na sio kwa hoja ulizozitoa. Kwani hoja zako ni dhaifu sana.

Unazungumzia juu ya barabara, umeme, hoispitali ....n.k. Sasa hivyo hushughulikiwa na nani kama si Serikali? Kama wabunge wa CCM ni 50% na wale wa CUF NI 50%, NI VIPI BAJETI ITAPITA YA KUJENGEA SHULE, BARABARA n.k. Hivi kweli unaelewa jinsi ushirikiano wa wananchi ulivyo muhimu ktk kufanikisha mipango ya Serikali? Au unafahamu kwa jinsi gani AMANI yaeleta maendeleo? Na....na...na.

Sielewi nianzia wapi kukuelewesha. Hebu soma tena hoja zako pengine huo utakuwa msaada pekee, kwani ninaimani hukusoma tena mara tu baada ya kumaliza kuandika.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…