Mhhh kukuchagulia harufu ya perfume ni sawa na kukuchagulia mume au mchumba .....Me ntaihisi ina harufu nzuri kumbe kwako mbaya...Yategemea pua ya mtu...Kila mtu na harufu zake..
Mfano me napenda harufu za udi mfano udi wa Mariam na baadhi ya udi nyingine...Harufu zilizokuwa tam kama za matunda, chocolate mfano perfume ya MARIAM, JLO, Feelings, lovely, etc sijui wewe?