Mapafyumu bin uturi

kanunue shi ni perfume nzuri sana inauzwa 250 usd ila pia kwa tzsh inapatikana pale baridi kuna kaka wa kizungu anaduka lake pia kuna kenzo, pia perfume nzuri nzuri zaidi ni rolf flowerbomb ( ndiyo ninayotumia lazima utaipenda ni mojawapo ya best perfume in the world)
 
Sema una sh ngapi ndio tukutajie kulingana na cash yako .
 
Chagua kati ya hizi,rihanna,kim,beyonce,ladygaga,ila reyonce pulse na kim gold zinanukia better...,auza mwenyewe
 
Habari wanajamvi.Najua wengi wetu ni watumiaji wa manukato.Nisaidieni kujua ni pafyumu au spray gain ya kike inayonukia vizuri ili nikanunue.Si mnajua manukato ni moja ya njia ya kumkonga moyo husband!


Mhhh kukuchagulia harufu ya perfume ni sawa na kukuchagulia mume au mchumba .....Me ntaihisi ina harufu nzuri kumbe kwako mbaya...Yategemea pua ya mtu...Kila mtu na harufu zake..

Mfano me napenda harufu za udi mfano udi wa Mariam na baadhi ya udi nyingine...Harufu zilizokuwa tam kama za matunda, chocolate mfano perfume ya MARIAM, JLO, Feelings, lovely, etc sijui wewe?
 
Lakini kila mtu ana taste yake, kuna ambao hawavutiwi na harufu flani flani za baadhi ya perfume. Cha muhimu nenda duka la vipodozi na chagua utayoipenda!
 

Kama mimi zenye flavor ya matunda...chocolate..yani zisizo kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…