ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,555
- 1,871
Naomba kuuliza wataalamu wa afya na mwili wa binaadamu kwa ujumla, wale mapacha wetu walochaguliwa chuo kikuu majuzi mfano akifa mmoja (siombei iwe hivyo) na inavyoonesha kila mmoja ana moyo wake na ubongo wake vinavyojitegemea, huyu aliebaki anaweza ku survive vipi?
NB; tusitie utani na utoto
NB; tusitie utani na utoto