Mapacha walioungana na Mitihani ya Form Six 2017

Mapacha walioungana na Mitihani ya Form Six 2017

Naisujaki Lekangai

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
1,340
Reaction score
1,378
Wadau wa elimu habari zenu.

Naomba kuuliza iwapo wale wasichana mapacha walioungana, Maria na Consolata Mwakikuti wapo kwenye orodha ya watihiniwa wa kidato cha sita mwaka huu 2017?
 
Unajiuliza kuhusu kuolewa?
Jiulize mmoja akifariki vipi mwingine atakuwa hai?
Je akiwa hai....unafikiri marehemu atazikwaje?
Mimi ni pacha ila nashukuru ckuzaliwa kama huwa wenzangu...
Mkuu hawa watoto wana tumia moyo mmoja ndo mana sometimes wanapumua kwa shida kwahiyo watakufa kwa wakati mmoja(hatuombi litokee)
 
Back
Top Bottom