Maonyesho ya Sabasaba (77) mwaka 2015

Maonyesho ya Sabasaba (77) mwaka 2015

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Habari Wakuu,

Leo ni Sikukuu ya 77, Maonyesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, yanayofanyika kila mwaka katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, maarufu kwa jina la Sabasaba, yamekosa ufanisi mwaka huu tofauti na ilivyozoeleka miaka ya nyuma.

Kuna kasi ndogo sana ya wafanyabiashara na watu mbalimbali kuingia kwenye eneo hili kama picha zinavyoonyesha, hadi muda wa Saa 9:13 nilipopiga picha hizi hakujachangamka kwa maana watu bado hawajaingia.

Nawaombeni tujadiliane kwa pamoja sababu zilizoyafanya maonyesho haya kudorora namna hii tukilinganisha na miaka ya iliyopita.


attachment.php


Picha hizi zinaonyesha hali ilivyo katika maonyesho haya hapa katika viwanja vya 77 vilivyoko katika barabara ya Kilwa, katikati ya Kurasini na Mtoni kwa Aziz Ali


attachment.php

 

Attachments

  • 77.jpg
    77.jpg
    18.4 KB · Views: 2,074
  • Sabasaba.jpg
    Sabasaba.jpg
    25.1 KB · Views: 2,052
Anejua kiingiliio sabasaba
Anitaarifu tafadhali
 
Swaumu.....

Bar nyingi pia nazo zimefungwa ndani
 
kwa sababu ni maonesho yasiyo na tija kwa taifa hasa ukizingatia ni sherehe za CCM,na watu wengi siku hizi wameelimika wameanza kupona upofu wa mfumo wa chama kimoja.hii inadhihirisha anguko lijalo la chama cha magamba!
 
ohooo..watu sabasaba wanaianzia kuanzia tarehe moja kwenda huko, am sure weekend palijaa, siku ya leo watu wanapumzikaga tu and am sure vingi vimeisha ndani
 
ohooo..watu sabasaba wanaianzia kuanzia tarehe moja kwenda huko, am sure weekend palijaa, siku ya leo watu wanapumzikaga tu and am sure vingi vimeisha ndani

Kwa mujibu wa nilichokishududia siku mbili tatu nilizoenda pale bado hakuna uchangamfu kama ki[indi cha siku zilizopita.
 
Kwa mujibu wa nilichokishududia siku mbili tatu nilizoenda pale bado hakuna uchangamfu kama ki[indi cha siku zilizopita.

shida things are just too expensive, sijajua dhumuni la 7-7 in regards to pricing, inatakiwa kuwa cheaper siku hiyo au same price au expensive..cause mtu unaenda na dhumuni la kununua kitu unakuta its the same price as dukani (so what is so special about 7-7 then?!) so unaishia kubeba flyers, kuangalia wanyama, kununua tshirts fulani nzurii (all th way frm A-Town tsh 7000,10,000), kukaa kunywa soda alafu huyoo unaondoka zako..
 
shida things are just too expensive, sijajua dhumuni la 7-7 in regards to pricing, inatakiwa kuwa cheaper siku hiyo au same price au expensive..cause mtu unaenda na dhumuni la kununua kitu unakuta its the same price as dukani (so what is so special about 7-7 then?!) so unaishia kubeba flyers, kuangalia wanyama, kununua tshirts fulani nzurii (all th way frm A-Town tsh 7000,10,000), kukaa kunywa soda alafu huyoo unaondoka zako..
Kweli mkuu dhumuni la with kwenda 77 ni kununua vitu kwa bei chee, Na wakati mwingine hivyo vitu mtaani vilikuwa havionekani.Kwa sasa nenda kariakoo, Tandika Na kwingine nako ni 77 ya kila siku Na unaingia bila kiingilio
 
Sababu kuu miongoni mwa hizo ni kuwa jamii huamini 77 ndio mkombozi wa kujipatia vitu kwa bei rahisi karibu na buree kumbe nyakati hz sio kama zile za kuelekea 77 ukiwa na hamsini elfu na ukajizolea mizigo yako pomoni sasa vitu vyauzwa kama upo uswahilini tena yaweza kuwa hata uswailini ikawa kuna unafuuuuu zaidi kuliko 77
 
Ni kweli ulichokiona ndio nilichokiona jana.Nimeingia saa nane na nusu nikashangaa sana kuona tarehe 6/7 kuna watu wachache kiasi kile.Inaonyesha maonyesho haya yameanza kukosa mvuto kabisa kadili miaka inavyopita.Mwaka jana nililiona hilo pia.Kigezo cha kuwa ni kwa sababu ya mwezi mtukufu wa Ramadhani na waislamu wamefunga hakina ukweli kwa kuwa watu wanaotembelea viwanja hivyo wameanza kupungua tangu mwaka jana.
Kwa mtazamo wangu,Nawashauri hivyo viwanja na majengo wakodishwe wafanyabiashara ndogondogo walioko kandoni mwa barabara kuanzia mtaa wa kongo,Ilala,Buguruni Mwenge na kadhalika ili iwe sehemu ya biashara 247/236.Itengenezwe center ya biashara mfano wa pale Mlimani city.
 
Kweli mkuu dhumuni la with kwenda 77 ni kununua vitu kwa bei chee, Na wakati mwingine hivyo vitu mtaani vilikuwa havionekani.Kwa sasa nenda kariakoo, Tandika Na kwingine nako ni 77 ya kila siku Na unaingia bila kiingilio

Kazi ya wachina hiyo,wachina wako hadi tandale kwa mtogole,wachina hoyeeee !!! na bado wakifungua china shopping malls hapo kurasini ndiyo 77 kwishiney
 
Sababu ya kwanza ni bei haina tofauti na madukani
sababu ya pili swaumu
sababu ya tatu ni watu wako bize na issue ya uchaguzi mkuu ujao.
 
Sijui kama mafuru wewe ndo ninayekufahamu... Ok anyways...ni tsh 4000.


Ila huu uzi haukupaswa kuwa humu
 
Kuna tatizo, ama viingilio wameweka vikubwa mno...!?
Mi nilifika pale parking nikaambiwa ku park ni elfu 10,000 na kiingilio ni elfu tatu kwa kuanzia umri wa miaka 6 hadi kuendelea.Nilikuwa na familia mimi na wife na watoto 3 na ndugu 2..Niligeuza gari nikasepa kurudi mjini kati sikurudi tena.
 
Mwezi mtukufu nao umechangia kudorora bhana!! Unajua wale wenzetu wana amsha amsha sana utadhani wamekamualiwa ndimu. Suburini warudi muone hekaheka mjini
 
Namisi ile miaka ya kwenda sabasaba ilikuwa hadi raha, hata watotonaachwa wenyewe getini na kuja kufatwa usalama ulikuwa hautishi. Sijui miaka hii inakuwaje sijaenda miaka nyingi.

Hivi ile treni bado ipo?
 
Hebu nambie yawezekana ndo mimi
Unamjua MAFURU yupi mkuu
Me ntakwambia tu kama ndo mimi

Funguka tu mkuu
 
Back
Top Bottom