Targaryen
JF-Expert Member
- Feb 20, 2017
- 675
- 643
Wahame chadema
kumbe shida ni Chadema sio Ufisadi maana kama ni ufisadi list ndogo hii hapa
1. BWM-Migodi wa kiwila- CCM
2. JPM-Kivuko kibovu, uuzaji wa nyumba za umma-CCM
3. Nyoka wa makengeza- uyu anahusika kila ufisadi-CCM
4.Ngeleja-Escrow-CCM
5.JK- Migodi -CCM
6. Lowasa-Dowans-Ex-CCM
7. list kubwa sana
CCM zaidi ya wakoloni hawatu wanatakiwa washitakiwe kwa kutufanya kuwa maskini kwa tamaa zao

