Maono yangu juu ya Tanzania ijayo

Maono yangu juu ya Tanzania ijayo

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,866
Reaction score
4,252
CCM haitaachia madaraka kwa sanduku la kura. Hii haitatokea. Wapinzani wakiunganisha nguvu, bado hazitatosha maana vyama vingine ukiacha CHADEMA ni kama havipo.

Uchaguzi ujao CCM itashinda kwa kuwa wana mbinu za kufanya hivyo. Si kwa ilani wala kwa sera bali kwa ghiliba.

Kwa kuwa Dola ni damu ya chama tawala, tusitegemee chama tawala kukubali kuvuja damu.

Hali ikiendelea hivi ni kwamba upinzani utapungua nguvu na wananchi watakosa imani na siasa za nchi hii kwa ujumla. CHADEMA iepukane na kundi la vijana ambao hawajitambui maana wengi si wapiga kura.

Kwa CCM kutoka madarakani ni nguvu toka nje ya Tanzania itatumika. Hadi sasa haiwezekani kufanyika hivyo kwa kuwa ccm wanakula vizuri na mabeberu rasilimali zetu.

CCM itatoka madarakani kwa mapinduzi. Na mambo yasipoenda vyema tutageuka sierra leone nyingine. Hakutatokea chama cha upinzani kitakachokuja kuwa na nguvu kama CHADEMA.

Mwisho, kama hayo hapo juu hayatatokea, na kama tunahitaji mbadala wa CCM, basi tuanze kuiamini kauli ya Nyerere. Tusubiri CCM imeguke. Hili halishindikani. Yangu macho
 
ccm inaweza ondolewa pale vyama pinzan vitakuwa na sera yenye ushawish siyo matus.mf.cdm bado wanaiga mabaya ya ccm k.m.matumizi mabaya ya pesa,ahad zisizo tekelezeka,kuanzisha vurug n.k
 
Tanzania itakuwa hivi milele. Hii nchi iliumbwa kuwa taahira siku zote. Tz is a farm. A low tech one at that. Trust me this is not and will never be a country
 
ccm inaweza ondolewa pale vyama pinzan vitakuwa na sera yenye ushawish siyo matus.mf.cdm bado wanaiga mabaya ya ccm k.m.matumizi mabaya ya pesa,ahad zisizo tekelezeka,kuanzisha vurug n.k
ukilala na kuamka...Sindelusis Wariobalisis, Sindiism Wariobacts itakuwa imeshuka kichwani....
 
Kama daftari la wapiga kura likiwa la kidemokrasia, likaruhusu vijana wote wenye umri wa miaka 18 na kuendelea kujiandikisha, CDM watashinda. CCM wataiba lakini hawataweza kuiba vya kutosha.

Hatuwezi kutawaliwa daima na wezi na wanyang'anyi. Vijana ni nguvu ya CHADEMA. Kwa sasa hawapigi kura kwani hawaruhusiwi kujiandikisha. This ought to be challenged in court
 
hapo ndipo ninapo kufuru kwa kulaani kuzaliwa tanzania
 
Kama daftari la wapiga kura likiwa la kidemokrasia, likaruhusu vijana wote wenye umri wa miaka 18 na kuendelea kujiandikisha, CDM watashinda. CCM wataiba lakini hawataweza kuiba vya kutosha.

Hatuwezi kutawaliwa daima na wezi na wanyang'anyi. Vijana ni nguvu ya CHADEMA. Kwa sasa hawapigi kura kwani hawaruhusiwi kujiandikisha. This ought to be challenged in court

unazungumzia vijana wa moshi na arusha au vijana wa wapi? hakuna kijana anaejitambua atakaepigia kura chadema
 
kuliko tuwape nchi wachaga bora ccm itawale milele
 
Kama daftari la wapiga kura likiwa la kidemokrasia, likaruhusu vijana wote wenye umri wa miaka 18 na kuendelea kujiandikisha, CDM watashinda. CCM wataiba lakini hawataweza kuiba vya kutosha.

Hatuwezi kutawaliwa daima na wezi na wanyang'anyi. Vijana ni nguvu ya CHADEMA. Kwa sasa hawapigi kura kwani hawaruhusiwi kujiandikisha. This ought to be challenged in court

siku daftari likiboreshwa halafu malengo yasifikiwe ni tatizo. Sijui nini kitasingiziwa
 
Tatizo sio CCM au daftari la wapiga kura ,tatizo ni CDM hawajafikia kiwango cha kuongoza nchi...hawakidhi viwango...ok lets put this way...CCM ni wezi na CDM ni wezi pia tena sana, kwa hio ni bora mwizi uliemzowea kuliko huyu mwizi mpya maana huyu atakwiba hadi vijiko na vyombo vyote nyumba ibaki tupu haahaaha.
 
Tatizo sio CCM au daftari la wapiga kura ,tatizo ni CDM hawajafikia kiwango cha kuongoza nchi...hawakidhi viwango...ok lets put this way...CCM ni wezi na CDM ni wezi pia tena sana, kwa hio ni bora mwizi uliemzowea kuliko huyu mwizi mpya maana huyu atakwiba hadi vijiko na vyombo vyote nyumba ibaki tupu haahaaha.
tukimuendekeza mwizi tuliyemzoea bado ni tatizo. Njia nyingine mwafaka ni kutafuta namna ya kuwafitinisha hao ccm ili wavurugane na mwisho kutengana
 
Tanzania itabadilika baada muda mrefu( miaka 20 au 40 ijayo) na hii ni kama Elimu juu ya demokrasia itaeleweka kwa watu wengi,Sehemu nyingi Tanzania hii(hasa vijijini) ukiwa mpinzani unaonekana kama MUASI ,Tuige mfano wa nchi zilizoendelea( kama UK na USA) wanavyofanya ,hakuna chama kinachotawala milele kama ilivyo kwa nchi yetu.
Rai yangu ,wananchi wengi wajiunge na vyama vya upinzani(CHADEMA,NCCR,TLP,CUF nk) ili kuipa serikali changamoto.
Uwe CCM,CHADEMA,TLP,NCCR,DP wote ni WATANZANIA
 
nauliza hivi ccm hakuna wachaga?chuki na wachaga is like a foolish dog bark at flying birds

Hivi wajua ukiwa MCHAGGA hautakiwi kuwa MTANZANIA?Kama haujalijua hilo basi hivyo ndivyo tulivyowekwa kwamba MCHAGGA hastahili kuwa MTANZANIA pale anapokuwa chama cha upinzani,bahati mbaya akawa mkristu balaa akiwa mwanachama wa CDM ndiyo hatakuishi hastahili!
 
siku daftari likiboreshwa halafu malengo yasifikiwe ni tatizo. Sijui nini kitasingiziwa

Wadhani daftari hilo litakuja boreshwa kwa misingi ya haki?Unless vyama vimeenda mahakamani na mahakama ikatoa order,labda litabadilishwa.

Pili viongozi wetu watakapokubali kuwa kweli tunnakubali vyama vingi kama ilvyoainishwa ndani ya katiba vinginevyo imekula kwetu.
 
Wadhani daftari hilo litakuja boreshwa kwa misingi ya haki?Unless vyama vimeenda mahakamani na mahakama ikatoa order,labda litabadilishwa.

Pili viongozi wetu watakapokubali kuwa kweli tunnakubali vyama vingi kama ilvyoainishwa ndani ya katiba vinginevyo imekula kwetu.
usisahau kuwa mahakama ni blood stream ya ccm
 
Back
Top Bottom