maoni yenu kusaidia movie za kibongo

maoni yenu kusaidia movie za kibongo

upendo_20

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
1,433
Reaction score
55
Wadau tunaomba maoni yenu kusaidia movie za kibongo naona kama wanatoka nje ya maadili ya kitanzania
 
yeah ni kweli lkn ss utandawazi ndo umeheribu kila kitu ndugu na kama viongozi wenyewe hawalitilii maanani suala la kuporomoka kwa maadili ktk suala zima la filamu je ss wananchi wa kawaida tutaweza vp me naona hii kitu ni kuangalia tu ' innocent frm tabora,tanzania
 
Viongozi Wa Umoja Wao Ndo Wataweza Kuwarekebisha Lakini Si Hatuwezi Mana Yataishia Hapa Tu,so Kama Viongozi Wao Hawako Makini Itakuwa Janga Juu Ya Janga, Ingawaje Maoni Yaweza Anzia Kwenye 'grassroots',Lakini Mi Naona Wapo Nje Ya Track Lakini Ukihoji Utaambiwa,Wanaigiza Kinachotokea Kwenye Jamii Ya Kileo Ya Kizazi Cha Sasa. Nshachoka Na Tz Mana Kuanzia Politics Hadi Sanaa Ni 'usanii' Tu.Wawe wabunifu na waigize kwa kuijenga jamii vinginevyo watapotea kama makapi.
 
Bongo kuna vipaji vingi na watz wanapenda sana kuwapa sapoti wasanii wao. Mi nasema kuwa nchini tz wako mbele katika sekta hio
 
Back
Top Bottom