Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,960
1. Historia ya familia ya kwanza Adam na Eve ina testify hili
2. Hata kwenye mahusiano chunguza sana..ushaur wa negative kuhusu rafiki zako, ndugu zako etc conversation hyo ya kwanza utaona anaanzisha mwanamke.
Atakwambia "Yule rafiki yako mbona hiki mbona kile...anakulia pesa zako etc"
Au atakwambia kwann mama yako asiende uguziwa nyumban au huyu mtoto wa ndugu usimsomeshee huko huko kwao
3. Wao ndio watoaji mimba...u cant kill some1 inside you..hili tendo ni la ukatili sana, tunachukulia poa tu na huwez justify kuua mtu...decision hii anafanya mwanamke
4. Treatment ya mwanamke kwa mwanamke au mwanamke kwa mwanaume kwenye chochote ni tofaut kabisa na treatment ya mwanaume kwa mwanamke au mwanaume kwa mwanaume. Chunguza tuu..kwenye mambo yote mwanamke hana humility
Hebu angalia mfano wa mama mwenye nyumba na msaidiz wa kazi..mfano m1 tu huu.
Hata mfano wa mama wa kambo kwa mtoto ...ni kama custom yan
5. Ni rahis sana kwa mwanamke kuonyesha hypocrisy kuliko mwanaume...chunguza the way wanavyosifiana wakiwa pa1 akat pemben ni maadui wakubwa
Wanaongoza pia ku fake orgasm ..(out of context)
6. Mambo ni mengi sana
N.b..wanatuzaa..ndo mama zetu dada zetu..hawahawa...ni mtihan mkubwa sana
Kumbuka pia...
Upendo wa kwel kwa mwanamke UPo kwa mtoto wake wa kumzaa peke yake..tena yule anaemzaa na kumshika...ingaea wapo wanaotupa watoto pia...ndo ajab lingne hilo la hawa ndugu zetu
Mwanamke hathamini kingne zaid ya hiko...maana mengne yote kwa mwanamke ni ya kando
Uzi tayar.
2. Hata kwenye mahusiano chunguza sana..ushaur wa negative kuhusu rafiki zako, ndugu zako etc conversation hyo ya kwanza utaona anaanzisha mwanamke.
Atakwambia "Yule rafiki yako mbona hiki mbona kile...anakulia pesa zako etc"
Au atakwambia kwann mama yako asiende uguziwa nyumban au huyu mtoto wa ndugu usimsomeshee huko huko kwao
3. Wao ndio watoaji mimba...u cant kill some1 inside you..hili tendo ni la ukatili sana, tunachukulia poa tu na huwez justify kuua mtu...decision hii anafanya mwanamke
4. Treatment ya mwanamke kwa mwanamke au mwanamke kwa mwanaume kwenye chochote ni tofaut kabisa na treatment ya mwanaume kwa mwanamke au mwanaume kwa mwanaume. Chunguza tuu..kwenye mambo yote mwanamke hana humility
Hebu angalia mfano wa mama mwenye nyumba na msaidiz wa kazi..mfano m1 tu huu.
Hata mfano wa mama wa kambo kwa mtoto ...ni kama custom yan
5. Ni rahis sana kwa mwanamke kuonyesha hypocrisy kuliko mwanaume...chunguza the way wanavyosifiana wakiwa pa1 akat pemben ni maadui wakubwa
Wanaongoza pia ku fake orgasm ..(out of context)
6. Mambo ni mengi sana
N.b..wanatuzaa..ndo mama zetu dada zetu..hawahawa...ni mtihan mkubwa sana
Kumbuka pia...
Upendo wa kwel kwa mwanamke UPo kwa mtoto wake wa kumzaa peke yake..tena yule anaemzaa na kumshika...ingaea wapo wanaotupa watoto pia...ndo ajab lingne hilo la hawa ndugu zetu
Mwanamke hathamini kingne zaid ya hiko...maana mengne yote kwa mwanamke ni ya kando
Uzi tayar.