fr93
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 211
- 141
Atakushika ajuimtu anapelekwa depo, anakaa miezi miwili, anaoneshwa sehem ya kufyatua risasi kwisha kazi, aje azuie maandamano
Atakushika ajuimtu anapelekwa depo, anakaa miezi miwili, anaoneshwa sehem ya kufyatua risasi kwisha kazi, aje azuie maandamano
Ulishawai kujifunza kitu kinaitwa friend firewewe mbna una maswali ya kipuuzi namna hii?????
doh hufai hata kujibiwa...
kuna wajinga wanatumia mitandao..
mana sio kwa maswali haya
Na kama unajua friend fire unajua nini kinasababisha friend fire na je unajua mafunzo ya kujilinda na friend fire je unajua hukumu za friend firewewe mbna una maswali ya kipuuzi namna hii?????
doh hufai hata kujibiwa...
kuna wajinga wanatumia mitandao..
mana sio kwa maswali haya
huyo suma jkt nae ndio pumba kabisa,Kilichotokea ushahidi anao askari wa SUMA-JKT aliyekuwepo pale, hizi nyingine ni porojo tupu
Wewe ndiye Msemaji wa Polisi...???Kuna tukio limetokea la askari wetu wa tz(jeshi na polisi)ambalo limetikisha