Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,236
- 14,868
wekezeni kwenye kuijenga chadema imara, msiangalie sana leo bali angalieni miaka 5-10 ijayo, kwa maoni yangu mpaka 2030 tanzagiza itakuwa imevurugwa na kuharibiwa na ccm kiasi kwamba yoyote atakaye kuja atapigiwa kura, hivyo fanyeni kila muwezalo msiharibu chadema kwani 2030 kama mkiwa imara na intact ni nchi nzima inaenda chadema, hata waislamu (wachini) watakuwa wamechoka pia.
look at this way, kihistoria maraisi wa tanzagiza hufanya kazi nzuri muhula wao wa kwanza halafu kama ni kuharibu hutokea muhula wa pili, sasa leo muhula wa kwanza hali iko hivi ina maana sasa hivi ndiyo “wamepiga kazi” na muhula wa pili kama historia inatufundisha chochote ndiyo wataharibu, sasa fikiria wa sasa waanze kuharibu yaani sasa hivi hawajaharibu bado wamepiga kazi.
angalieni na chungeni ili 2030 muwe vizuri na siyo mbali …
look at this way, kihistoria maraisi wa tanzagiza hufanya kazi nzuri muhula wao wa kwanza halafu kama ni kuharibu hutokea muhula wa pili, sasa leo muhula wa kwanza hali iko hivi ina maana sasa hivi ndiyo “wamepiga kazi” na muhula wa pili kama historia inatufundisha chochote ndiyo wataharibu, sasa fikiria wa sasa waanze kuharibu yaani sasa hivi hawajaharibu bado wamepiga kazi.
angalieni na chungeni ili 2030 muwe vizuri na siyo mbali …