Roller coaster
Senior Member
- Jan 5, 2015
- 194
- 129
Mbona hawajaongelewa matusi ya mwenzao?!! Je? Ni halali kumuita mwenzio kibaka???
Kama kibaka kweli? Na kakwapua simu za watu na ushaidi upo asiitwe kibaka
Mbona hawajaongelewa matusi ya mwenzao?!! Je? Ni halali kumuita mwenzio kibaka???
Mbona hawajaongelewa matusi ya mwenzao?!! Je? Ni halali kumuita mwenzio kibaka???
Mwanasehria Mkuu wa Chama Cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
Tundu Lissu, alisema mkuu wa wilaya
ana mamlaka ya kuamuru mtu
aliyefanyakosa mahali ambako hakuna
polisi akamatwe.
Swali: Kama hakuna polisi anaamrisha akamatwe na nani? Raia au mgambo? Hizi sheria na wana sheria KIZUNGUZUNGU TUPU
Hivi fisadi na kibaka lipi ni neno la kuudhi zaidi!?
Nyau wewe, mbunge na mkuu wa wilaya, wajua tofauti zao kimamlaka?? Mpumbavu na lofa mkubwa wewe. Huyo Kubenea atakula uongo na matusi yake. Bahati yake Makonda ni mstaarabu na mwenye huruma sana, huyo mbunge alitakiwa ale kipondo cha haja kabla ya kuswekwa upango
Kama kibaka kweli? Na kakwapua simu za watu na ushaidi upo asiitwe kibaka
Nyau wewe, mbunge na mkuu wa wilaya, wajua tofauti zao kimamlaka?? Mpumbavu na lofa mkubwa wewe. Huyo Kubenea atakula uongo na matusi yake. Bahati yake Makonda ni mstaarabu na mwenye huruma sana, huyo mbunge alitakiwa ale kipondo cha haja kabla ya kuswekwa upango
Mbona hawajaongelewa matusi ya mwenzao?!! Je? Ni halali kumuita mwenzio kibaka???
Ni ajabu kabisa eti Mbunge anaruhusiwa kutukana , tusizidishe mahaba kwa kila jambo.
Wewe ndiyo ----- na mpuuzi mkubwa!
Hivi unajua kwamba Paulo Makonda alipewa U-Dc kama zawadi baada ya kumpiga na kumdhalilixha Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji na PM mstahafu Joseph Sinde Warioba?
Huyu jamaa amezoea vya kunyonga anafikiri kupata au kupanda cheo ni kwa kupiga wazee na Waasisi wa nji hii au kuwakomoa Wapinzani ili aonekana anachapa Kazi ya Magufuli!
This time atakuwa ame-bugi men!Kama alifikiri Saed Kubenea ni Warioba basi asubiri muziki monene!
PAULO MAKONDA ni Jipu tena la kwene makalio na lazima litumbuliwe tu!
Hapa tatizo litakalosumbua mahakamani ni neno "kibaka" kama ni tusi au sio tusi. Kama kamusi ya kiswahili sanifu haina maana ya hilo neno kama tusi au matusi,hapo ndipo watetezi wa mkuu wa wilaya watajua kama mchicha ni mboga au chachandu.
Mgesema wengine lakini Tundu lisu Hamna lolote
Kwa nn umwite mkuu wa wilaya kibaka?
Kama kibaka kweli? Na kakwapua simu za watu na ushaidi upo asiitwe kibaka
tundulisu sheria ajui nimeamin sasa
Fisadi lina mvuto ukiitwa hilo jina mbele ya totoz zinakufata huku chupi zao zimeloa ukiitwa kibaka hata mpenzi wako anakukimbia tafakari
Fisadi lina mvuto ukiitwa hilo jina mbele ya totoz zinakufata huku chupi zao zimeloa ukiitwa kibaka hata mpenzi wako anakukimbia tafakari