Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 44,819
- 36,767
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.Mkuu toa ushuhuda ebu watu wajifunze, nini kilikukuta
Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...
Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..