Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu
Mkuu toa ushuhuda ebu watu wajifunze, nini kilikukuta
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.

Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...

Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
 
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.

Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...

Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
Mmh utakua unafundisha primary
 
yaan mshahara wangu naenda kuuchukulia kwa kausha damu tena ni elfu 43 tu ndio iliyobaki nyingine wanakata riba na marejesho niliyopitisha siku za nyuma.

Kweli ndruuuugu zangu hii ni haki kadi ya benki na password anakaa nazo kausha damu dah!! Eti miezi mi5 ndio deni litaisha...

Nyie jomoni jomoni maisha haya kweli ni msongamano..
We si mwana CCM nimekuona kwenye ule uzi wa nyumba ya Mbowe ukishabikia ujinga.

Niambie kama nimekufananisha.
 
We ni K ya chura wewe,mbwa Koko wewe.

Wewe unajua ni WA Tanzania wangapi wanaishi chini ya Dola Moja mbwa wewe.
Wewe mwenye mshahara mkubwa umeshafanya Nini kima wewe.
Kazi tu kuwabeza wengine choko.

Watu wanaishi hawana AJIRA za kudumu,sembuse wenye hiyo AJIRA!..
 
Back
Top Bottom