run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,824
- 3,131
Nimekuwa nikisika python ndio inayoongoza sasa kwa kutumiwa.
Wanaodai hivyo wanasema pia ndio programming language rahisi kuwahi kuwepo.
Kwa wadau wanaoijua na KUITUMIA naomba maoni..Frametime nimejipa miezi 3 nitumie video tutorial au nikomae na w3school au vitabu?
Wanaodai hivyo wanasema pia ndio programming language rahisi kuwahi kuwepo.
Kwa wadau wanaoijua na KUITUMIA naomba maoni..Frametime nimejipa miezi 3 nitumie video tutorial au nikomae na w3school au vitabu?