Maoni kuhusu elimu ya Tanzania

Maoni kuhusu elimu ya Tanzania

bid2015

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
306
Reaction score
59
Kuna thread nimesoma hapa JF nimebaki kucheka sana.

Ilikua kuhusu ubora wa elimu Tanzania mathalani elimu ya juu.
Mimi nimesoma sua degree ya Kwanza, Boston USA degree ya pili na sasa nasoma PhD China (China agricultural university).

Katika michango mingi niliyosoma reality ni ndogo kuhusu elimu zetu hapa Bongo.Lugha ya kimombo sio kitu mpaka sasa mm English inanipiga chenga nasimamia kwenye point tu.Kwenye masters nilikua best student na English ya kuungaunga.

Mwisho
Watanzania hatujikubali.
 
Umetaka wasomaji wa bandiko lako waelewe nini kati ya haya:

1.Umesoma Marekani,"Masters"?

2. Unasoma China, "PhD"?

3.Kiingereza kinakupiga chenga japo umesoma Marekani na sasa uko China?
 
Ni kweli unapaswa kujikubali pale uwezo wako unapoishia ila usiwahamasishe waache kuendelea kujifunza ngeli kwa kukuiga ww.
 
Back
Top Bottom