Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 599
- 1,765
Poleni na majukumu wana JF!!!
Twende kwenye mada moja kwa moja…..Nimekuwa nikifuatilia historia za siasa za nchi hii kwa kipindi kirefu sana,
Mpaka nilipokuja kufanya hitimisho hivi majuzi kwa kumuona kuwa huyu jamaa (John Heche) ni mtu wa kazi sana na uwa anamaanisha anacho zungumza na anazungumsha anacho maanisha.
Watu wa kanda ya ziwa ndio watu wenye uchungu sana na taifa hili(historia inaonesha hivyo) kwa kuanza kwa Nyerere mpaka kwa Magufuli na uwa wanapenda haki sana,John Heche pia ni mmoja wao…..alipambana sana na Wazungu wa pale Nyamongo mpaka wazungu wakanyoosha mikono.
Ni mtu anayejiamini sana uwa hamung’unyi maneno.
Ni mchapakazi kweli kweli na yupo mbali na rushwa,tamaa au kutaka vyeo vikubwa kama wana siasa wengine walivyo na mwisho kabisa
Na mwisho kabisa hana ukabila, ukanda au udini kama wanaSiasa wengine wa upinzani au wa chama tawala walivyo
Maendeleo hayana chama🩴
Twende kwenye mada moja kwa moja…..Nimekuwa nikifuatilia historia za siasa za nchi hii kwa kipindi kirefu sana,
Mpaka nilipokuja kufanya hitimisho hivi majuzi kwa kumuona kuwa huyu jamaa (John Heche) ni mtu wa kazi sana na uwa anamaanisha anacho zungumza na anazungumsha anacho maanisha.
Watu wa kanda ya ziwa ndio watu wenye uchungu sana na taifa hili(historia inaonesha hivyo) kwa kuanza kwa Nyerere mpaka kwa Magufuli na uwa wanapenda haki sana,John Heche pia ni mmoja wao…..alipambana sana na Wazungu wa pale Nyamongo mpaka wazungu wakanyoosha mikono.
Ni mtu anayejiamini sana uwa hamung’unyi maneno.
Ni mchapakazi kweli kweli na yupo mbali na rushwa,tamaa au kutaka vyeo vikubwa kama wana siasa wengine walivyo na mwisho kabisa
Na mwisho kabisa hana ukabila, ukanda au udini kama wanaSiasa wengine wa upinzani au wa chama tawala walivyo
Maendeleo hayana chama🩴