nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Kwa maoni yangu, najua muda sio mrefu Jahazi litang'oa Nanga, napendekeza aongezwe Mtaalamu, Mbobevu, Nguli katika tasnia hiyo na mwenye mbwembwe katika kutumia kipaza, sio mwingine ni miongoni mwa Watangazaji 10 waanzilishi wa Clouds Fm, kama ambavyo amesema MD Joseph Kusaga nampendekeza Gerald Hando!
Naomba kuwasilisha, nawewe pendekeza, "Nani ni Nani"
cc: P.
Naomba kuwasilisha, nawewe pendekeza, "Nani ni Nani"
cc: P.