General Overseer
New Member
- Jan 14, 2026
- 4
- 1
Nawaza kwanini Kwenye maonesho yanayofanyika hapa nchini mfano Nane Nane au Sabasaba, kwanini vyombo vyetu vya ulinzi kama JWTZ au Polisi Nawao wasiwepo kuonesha vifaa na kutoa elimu mbalimbali kwa wananchi, Na sio kusubiri mpaka Siku ya Uhuru, Muungano au mapinduzi ndio tuwaone!.
Pia itajenga uzalendo kwa wananchi kupenda majeshi yetu na kuhamasisha vijana kujiunga kwenye taasisi hizi. Mfano tuone silaha za kisasa zinazotumiwa, na majeshi yetu vikioneshwa kama wanavyofanya taasisi zingine za Umma na Binafsi katika Maonesho haya.
Pia itajenga uzalendo kwa wananchi kupenda majeshi yetu na kuhamasisha vijana kujiunga kwenye taasisi hizi. Mfano tuone silaha za kisasa zinazotumiwa, na majeshi yetu vikioneshwa kama wanavyofanya taasisi zingine za Umma na Binafsi katika Maonesho haya.