Maombi ya wa Tz kwa Lissu

Maombi ya wa Tz kwa Lissu

kidole007

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
3,094
Reaction score
1,878
NB huu uzi hau husiani na nyuzi nyingeni mods msiunganishe

Nije kwenye mada baada ya tukio la leo lilimpata Mhe Tundu Lissu nimekua nikilifatilia kwa ukaribu sana kwa kupitia mitandao ya kijamii

WaTz wamejitokeza kutoa maombi kumwombe Lissu apote naam naona mungu ameskia maombi

Wale wote wanaopenda kuombewa nadhani wameshapata picha kua kuombewa hakulazimishwi.
 
Mkuu naona wanyama wenzio bado wako kenya wasubiri wakirudi serengeti watasaidia maombi
 
Kama kawa kama dawa. Pita ndani ujipatie simu ya kijanja yenye watsap fesibuku na twita kwa garama ya elufu kumi na ine tu. Karibuni sana wateja

Simu zetu ni toleo jipya la mwaka 2018
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom