Mdg wangu ushauri uliopewa ndiyo sahihi, kukwama ni jambo la kawaida hususani kwa wanaojua mapito, hata matajiri unaowaona leo nao yamewasibu mengi.
Kama yalivyo tolewa maoni hapo juu, jipambanue kwa kujiweka wazi kuwa, kwa aliye tayari kwa msaada hitaji lako ni ada kulipwa, toa namba ya Account ya chuo au ushahidi wa chuo unachosoma.