Maombi ya kujiunga MUM hupitia TCU?

Maombi ya kujiunga MUM hupitia TCU?

long neck

Member
Joined
Aug 29, 2016
Posts
70
Reaction score
25
Naomben wanaJF mnifahamishe,

Hivi hiki chuo kikuu cha MUM maombi yake hayapitii TCU? Nashangaa kuona wametoa second round ila vyuo vingine hata dalili havina.
 
naomben wa jf unifahamishe,,, iv hichi chuo kikuu cha MUM maombi yake hayapitii TCU? nashangaa kuona second round imetoa ila vyuo vingine ata dalili.
Maombi ya mum hayapitii TCU hivyo usishangae kuona second round kuwa tayari
 
Presha waliyonipa TCU sitohisahau kamwe
Second round mpk sa hv bado na ikitoka utasikia Your provision selected........
 
Maombi ya mum hayapitii TCU hivyo usishangae kuona second round kuwa tayari
Hakuna chuo ambacho kina sajili wanafunzi bila kupitia TCU AU NACTE hivyo acha kuupotosha umma maombi yote yanapitia TCU NA NACTE
 
kaka si bora ww unasubir second wenzio wa nacte toka tulivyo apply mwezi wa tatu mpk leo
 
Hakuna chuo ambacho kina sajili wanafunzi bila kupitia TCU AU NACTE hivyo acha kuupotosha umma maombi yote yanapitia TCU NA NACTE
Kuna kama vyuo viwili MUM nafikiri kingine kiko Zenj unaomba moja kwa moja chuoni-wao wanachagua baadae wanawasiliana na TCU kuhakiki kwamba vigezo vimezingatiwa. Hivyo wanaweza kuprocess application zao faster.
 
Hakuna chuo ambacho kina sajili wanafunzi bila kupitia TCU AU NACTE hivyo acha kuupotosha umma maombi yote yanapitia TCU NA NACTE




NO RESEARCH NO RIGHT TO SAY.

MUM wanadahili wenyewe bila kupitia TCU wala NACTE bro ni shahidi wa hili nimelishuhudia wala si kuambiwa.
 
Naomben wanaJF mnifahamishe,

Hivi hiki chuo kikuu cha MUM maombi yake hayapitii TCU? Nashangaa kuona wametoa second round ila vyuo vingine hata dalili havina.
Maombi yana anza chuoni halaf yanapelekwa na chuo TCU kupitishwa. ingekuwa hayapitii TCU wanafunz wasingepew mkopo na boom ya serikali . na TCU wanajua process za mum
 
MUM hata ukipiga simu ukataja particulars zako na koz unayotaka wanakudahiri. Nimeshuhudia mwenyewe mtu alipiga simu na amechaguliwa second round
 
Jmn second round mnalalamika he wale was first round ambao until nw bdo hawajui nao wasemaje...jmn tuwe wavumilivu m mwnyew n mhanga was hlo jambo
 
MUM hata ukipiga simu ukataja particulars zako na koz unayotaka wanakudahiri. Nimeshuhudia mwenyewe mtu alipiga simu na amechaguliwa second round
siku hiz ni science na technology . ukipiga sim unajulikan upo wap na ukitaja index no tu matokeo yako ,jina lako,shule wanajua na huwez kuwadanganya wanathibitisha on line particular unazotaja zinaendana na zinazoonekana kwenye computer system. ukichaguliwa unawapelekea copy original na vyeti ndio wakusajili chuon
 
Hakuna chuo ambacho kina sajili wanafunzi bila kupitia TCU AU NACTE hivyo acha kuupotosha umma maombi yote yanapitia TCU NA NACTE
Hawataki ubabaishaji wale kama tcu mum wako smart washakamilisha selection zao
 
Kwa wale wa Nacte hata msijali vyuo mtapata tu,hakuna mwenye vigezo atakayekosa chuo hata mwaka jana ilikuwa hivyo,sema unaweza ukakosa ile course ambayo ulikuwa unaipenda
 
kawa ulize open wanamajibu sahihi juu ya swala kudahili direct chuoni
 
MUM wapo smart sana Fanya uchunguzi,,, unaomba hata kwakupiga sim chuon then wanahakiki taarif zako kam unavigezo kwa mujib wa TCU then taarifa zote zinapelekwa TCU af pia kwawataokosa mkopo toka hesbl mum wanatoa mikopo mwaka huu,,,, wamejipanga kwakwel,,,,,taarifa hizi nizakwel kabisaaaa sio zakuambiwa nimezishuhudia mwenyewe ,,, af cku yakuriport chuo intakiwa uwe na atlist robo ya ada kama laki3 hv unakamilisha usajil wakat unasubir mkopo wako toka loandbord
 
Back
Top Bottom