PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Maombi na dua maalum imefanyika ili kuliombea Taifa katik kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025
Mgombea Udiwani wa kata ya Segerea Robert Manangwa ameongoza Dua/Maombi ya kuliombea Taifa amani
Dua hiyo imefanyika kwa kushirikiana na kamati ya Maridhiano na Amani (JAY MAT) hapa nchini kwenye viwanja vya Toto Tundu uliopo Tabata
Kwa nyakati tofauti viongozi hao wa dini pamoja na mgombea udiwani wa kata hiyo wamehimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025.
Mgombea Udiwani wa kata ya Segerea Robert Manangwa ameongoza Dua/Maombi ya kuliombea Taifa amani
Dua hiyo imefanyika kwa kushirikiana na kamati ya Maridhiano na Amani (JAY MAT) hapa nchini kwenye viwanja vya Toto Tundu uliopo Tabata
Kwa nyakati tofauti viongozi hao wa dini pamoja na mgombea udiwani wa kata hiyo wamehimiza amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025.