Shombe ikiwa hujapokea email ya majibu baada ya interview wakati wengine wamepokea ya kukosa imekaajeVp waliopiga pepa Jana TNS - Account Officer wanasemaje..?
Ulifanya interview ya fani gani?Shombe ikiwa hujapokea email ya majibu baada ya interview wakati wengine wamepokea ya kukosa imekaaje
Kuna wenzetu walipokea email za kukosa wiki iliopita, ila sisi wengine kimyaHayo ni mambo ya Private org. PSRS hawana hayo mambo...
We ulifanya interview wapi..?
Piga Simu upewe taarifaKuna wenzetu walipokea email za kukosa wiki iliopita, ila sisi wengine kimya
Ok hakuna tabuPiga Simu upewe taarifa
Hakuna kitu hichoNaona sahil nyingi zitatoka wakati wa sensa ili mtu kama umepata nafasi kufanyakaz ya sensa uchague moja usahili au kazi ya sensa
Wee subiria utaonaHakuna kitu hicho