Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 6,930
- 7,949
Uhali gani?
Hili swali nimeuliza na dogo hapa nimeshindwa kumjibu zaidi ya kuguna tu. nimeona nilete kwa madaktari wa jf huenda wakawa wanajua kisayansi kazi ya hizi manyonyo kwa wanaume ni nini. na je yanaitwa manyonyo, Chuchu, Maziwa au Matiti?
karibuni
Hili swali nimeuliza na dogo hapa nimeshindwa kumjibu zaidi ya kuguna tu. nimeona nilete kwa madaktari wa jf huenda wakawa wanajua kisayansi kazi ya hizi manyonyo kwa wanaume ni nini. na je yanaitwa manyonyo, Chuchu, Maziwa au Matiti?
karibuni