Zama za nini sasa?Unawaza kula tu
Maana ninachojua Warioba na Butiku uliowataja bado wanakula pesa ya umma.
Zama za nini sasa?Unawaza kula tu
Sikatai. Ila kwa siku za karibuni huyu Manyerere Jackton na mwenzake Absolum Kibanda wamekuwa wakijitahidi kusimama kwenye ukweli na uhalisia ukilinganisha na waandishi wengine wa habari.Jacton na Balile ni Chawa waandamizi 😁
Lakini hao hao wanakwenda mbali zaidi na kuhoji, kama Rais hapandezwi na haya yanayoendelea, mbona yeye mwenyewe yuko kimya? Ameridhika kuona raia wake wakivunjwa mikono, miguu na nyonga bila hatia? Kwa nini basi, asimwagize hata waziri wake mmoja akemee hii piga-piga iliyohalalishwa?