D dlazari Member Joined Sep 20, 2012 Posts 74 Reaction score 30 Jan 21, 2018 #1 Wana Jamvi, kuna Radio Iko manyara inaitwa Manyara FM, nimeisikia Juzi nikiwa Babati ila sikujua mawasiliano yao. Je kuna Mtu ana mawasiliano yao? Naomba hapa au private. It is for business purpose.
Wana Jamvi, kuna Radio Iko manyara inaitwa Manyara FM, nimeisikia Juzi nikiwa Babati ila sikujua mawasiliano yao. Je kuna Mtu ana mawasiliano yao? Naomba hapa au private. It is for business purpose.
fredymkanza JF-Expert Member Joined Jun 19, 2016 Posts 284 Reaction score 152 Jan 21, 2018 #2 Ngoja naenda huko leo nitakupatia Ndugu
eliajelemia50 Member Joined Nov 15, 2016 Posts 12 Reaction score 8 Jan 21, 2018 #3 Mm ninayo ya meneja wao 0715992666 akikuuza ulipopata no yake mwambie nimepewa na sam wa handeni