Manyanyaso haya tanesco mpaka lini

Manyanyaso haya tanesco mpaka lini

mchakavumlasana

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
389
Reaction score
213
Habari wanajf

najua humu tanesco mnnapita

hivi mtatuonea mtoni kijichi mpaka lini?
Tumekua kama vifaranga vya kuku mbele ya mwmwewe

Yanakaribia masaa 24 sasa hatuna umeme

na hii sio mara ya kwanzaa

kila siku sababu mara low voltage

mara genereta

ila mbona kipindi cha uchaguzi umeme haukatiki na voltage zinakua sawa?

Mpaka tuandamane?

maana mlianza na style ya kukata hata mara 20 kwa siku

sasa mmeendelea mnatuweka giza masaa 24 na zaidi

sisi tunaotegemea umeme ili kufanya vibiashara vidogo ndo hatuingizi

majumbani hakulaliki

mnakera sana aisee
 
Saaana wanakera mno watu wabagala kote hata siku tatu wanaweza kukata na hakuna taarifa yoyote kama ni mgao tuambieni tumechoka.
 
Back
Top Bottom