Kudadadeki
Member
- Oct 7, 2010
- 70
- 3
Jana nilimtuma kijana akanunue LUKU ya Tsh. 12,000/= hapo maeneo ya Science.
Cha ajabu kaja na Unit 45 tu. Nilipochunguza, nikagundua units hizo chache zimesababishwa na mlundikano wa kodi nilizobebeshwa bila hatia.
Angalia mlolongo wa kodi hizo;
1. VAT 18%
2. EWURA 1%
3. REA (Rural Electrification Authourity) 3%
SUB TOTAL; 1,561.57
4. Municipal Services Tax Invoice 3,340.36
TOTAL 4,901.93
Najiuliza,
1. ni haki katika LUKU ya 12,000/= kupata LUKU ya 7,098/= (59%) ?
2. ni haki kulipia VAT ? (wakati nimefanya retail business ?)
3. ni haki kulipia EWURA wakati inapata rudhuku toka Serikali Kuu ?
4. ni haki kulipia REA wakati wao ni wafanyabiashara wanaosambaza umeme Vijijini ?
5. kodi chungu nzima ninazolipa katika Manispaa (kodi ya ardhi, kodi ya nyumba etc,etc) hazitoshi hadi waje nikabe koo kwenye umeme ?
Naomba Ushauri wenu Great Thinkers, tunafanyaje ?......
Tuwapeleke Mahakamani ? Kuna Wanasheria humu waliotayari kusaidia (Kenya, ningeshapata volunteers Lawyers 200)
Cha ajabu kaja na Unit 45 tu. Nilipochunguza, nikagundua units hizo chache zimesababishwa na mlundikano wa kodi nilizobebeshwa bila hatia.
Angalia mlolongo wa kodi hizo;
1. VAT 18%
2. EWURA 1%
3. REA (Rural Electrification Authourity) 3%
SUB TOTAL; 1,561.57
4. Municipal Services Tax Invoice 3,340.36
TOTAL 4,901.93
Najiuliza,
1. ni haki katika LUKU ya 12,000/= kupata LUKU ya 7,098/= (59%) ?
2. ni haki kulipia VAT ? (wakati nimefanya retail business ?)
3. ni haki kulipia EWURA wakati inapata rudhuku toka Serikali Kuu ?
4. ni haki kulipia REA wakati wao ni wafanyabiashara wanaosambaza umeme Vijijini ?
5. kodi chungu nzima ninazolipa katika Manispaa (kodi ya ardhi, kodi ya nyumba etc,etc) hazitoshi hadi waje nikabe koo kwenye umeme ?
Naomba Ushauri wenu Great Thinkers, tunafanyaje ?......
Tuwapeleke Mahakamani ? Kuna Wanasheria humu waliotayari kusaidia (Kenya, ningeshapata volunteers Lawyers 200)