MaMals
Member
- Oct 31, 2013
- 46
- 8
Wasalam wanajf!! Siku kadhaa sasa Nasoma taratibu za kufanya manunuzi mtandaoni kutumia ebay. Katika kusajiri ebay account Kuna baadhi ya vitu sijavielewa mfano address, Postal code. kwa sasa nipo mbali na nyumbani, nasoma chuo kimoja hapa Dodoma.
Je, ni naweza kutumia address ya chuo kama njia ya kuupata mzigo na vile vile nitajuaje kama mzigo umefika Dodoma?. Hii postal code ndo' sijui kitu gani..Msaada tafadhari
Je, ni naweza kutumia address ya chuo kama njia ya kuupata mzigo na vile vile nitajuaje kama mzigo umefika Dodoma?. Hii postal code ndo' sijui kitu gani..Msaada tafadhari