k2206
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 737
- 744
Wakuu, kuna shida ambayo ninaipata banggood au gearbest wakati ninapotaka kununua bidhaa Kama simu,tablets,n.k.
Store nyingi haziship kuja Tanzania. Lakini ukibadilisha nchi ukiweka labda USA au UK au German,wanaship.
Je,tatizo liko wapi?
Au Kuna sehemu Mimi nakosea?
Mimi Sina uzoefu wa kuagiza kupitia hizi site. Mimi nimezoea sana AliExpress.
Naomba msaada kutoka kwenu kwa niaba ya wale wote wenye shida Kama yangu.
Store nyingi haziship kuja Tanzania. Lakini ukibadilisha nchi ukiweka labda USA au UK au German,wanaship.
Je,tatizo liko wapi?
Au Kuna sehemu Mimi nakosea?
Mimi Sina uzoefu wa kuagiza kupitia hizi site. Mimi nimezoea sana AliExpress.
Naomba msaada kutoka kwenu kwa niaba ya wale wote wenye shida Kama yangu.