M macro Senior Member Feb 15, 2019 115 122 Aug 20, 2022 #1 Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili Kagera Leo sababu majeruhi?? Taarifa hizi zinasambaa kwenye hizi zinazoitwa online tv ( rock star tv) Kama ni kweli daaa hatari sasa hii
Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili Kagera Leo sababu majeruhi?? Taarifa hizi zinasambaa kwenye hizi zinazoitwa online tv ( rock star tv) Kama ni kweli daaa hatari sasa hii
msomi uchwara JF-Expert Member Oct 17, 2017 4,209 7,731 Aug 20, 2022 #2 Ni tetesi hizo Sent using Jamii Forums mobile app
Smart AJ JF-Expert Member Mar 21, 2022 5,561 5,779 Aug 20, 2022 #4 Hata wasipocheza wote hao bado huyo kagera anakufa goli zaidi ya mbili
Pettymagambo JF-Expert Member Aug 21, 2017 1,425 7,914 Aug 20, 2022 #5 Ipo siku kila mmoja ataishabikia SIMBA sports club
relis JF-Expert Member May 24, 2015 3,188 4,766 Aug 20, 2022 #7 Kwani Mzungu hayupo? Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Prince Kunta JF-Expert Member Mar 27, 2014 22,785 28,808 Aug 20, 2022 #8 Hata wasipokuwepo ila si mmeshamnunua refa ili mpate magoli ya offside
Mbabani JF-Expert Member Jun 20, 2022 1,171 3,359 Aug 20, 2022 #10 Banda yupo Sakho yupo Kibu yupo Kyombo yupo Mzungu yupo Mzamiru yupo
Kitimoto JF-Expert Member Aug 25, 2012 5,190 4,913 Aug 20, 2022 #11 macro said: Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili kagera Leo sababu majeruhi?? Tarifa hiz zinasambaa kwenye hiz zinazoitwa online tv ( rock star tv) Kama ni kweli daaa hataree sasa hiii Click to expand... Usiwe na wasiwasi, sisi ni watoto wa Baba Msomali na mech tumeshaimaliza, ni kwenda kuitimisha hiyo saa 1 usiku pointi zote 3 ni za kwetu!
macro said: Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili kagera Leo sababu majeruhi?? Tarifa hiz zinasambaa kwenye hiz zinazoitwa online tv ( rock star tv) Kama ni kweli daaa hataree sasa hiii Click to expand... Usiwe na wasiwasi, sisi ni watoto wa Baba Msomali na mech tumeshaimaliza, ni kwenda kuitimisha hiyo saa 1 usiku pointi zote 3 ni za kwetu!
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,476 29,191 Aug 20, 2022 #12 macro said: Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili kagera Leo sababu majeruhi?? Tarifa hiz zinasambaa kwenye hiz zinazoitwa online tv ( rock star tv) Kama ni kweli daaa hataree sasa hiii Click to expand...
macro said: Wana lunyasi wenzangu ni kweli wachezaji tajwa hapo juu hawapo kwenye squad ya kumkabili kagera Leo sababu majeruhi?? Tarifa hiz zinasambaa kwenye hiz zinazoitwa online tv ( rock star tv) Kama ni kweli daaa hataree sasa hiii Click to expand...
M mafarisayoo JF-Expert Member Oct 7, 2016 1,004 626 Aug 21, 2022 #13 Smart AJ said: Hata wasipocheza wote hao bado huyo kagera anakufa goli zaidi ya mbili Click to expand... Leta matokeo
Smart AJ said: Hata wasipocheza wote hao bado huyo kagera anakufa goli zaidi ya mbili Click to expand... Leta matokeo