Jamani mi nataka kuanza biashara ya kuuza na kitengeneza sabuni za maji,npo mbeya natafuta sana npate manukato aina tofauti kama ndizi ,chungwa na nk,tofaut na rose ambayo ndo yamezoeleka sasa kwa uku mbeya napatashda jins kupata hzo aina tofaut msaada kwa MTU anaye jua