godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Nani sasa anakufa kwa KO?Akirudia tena anakufa KO
The end justifies the meansPambano limepigwa alfajiri ya leo katika ukumbi maarufu wa masumbwi MGM GRAND Nevada, LAS VEGAS.
Mpambano ulianza kwa mabondia wote kuviziana na kuchukukua tahadhari zote,lakini mistake ndogo aliyoifanya Keith Thurman ilimfanya Pacquiao kutumia hiyo weakness na kumsukumia makonde yaliyomlambisha sakafu Keith.
Katika raundi Keith alikuwa makini zaidi na kutumia advantage ya urefu wa mikono yake kumpiga Packman kwa mbali. Pamoja na Manny Pacquiao kumshinda mpinzani wake kwa points,lakini Keith Thurman ameonyesha uwezo mkubwa katika boxing, hakika ni Bondia mzuri kama itapigwa mechi ya marudiano nna uhakika anaweza kumpiga Pacquiao.
Definitely!The end justifies the means
KennyNani sasa anakufa kwa KO?
Absolutely!Definitely!
Keith Thurman yuko vizuri sana, usishangae akambonda Manny Pacquiao katika mpambano wa marudiano.Kenny
Thurman bondia wa kawaida mno.Keith Thurman yuko vizuri sana, usishangae akambonda Manny Pacquiao katika mpambano wa marudiano.
Thurman bondia wa kawaida mno.
Wee! Floyd Mayweather Jr mashine nyingine tangu ameanza kucheza ngumi za kulipwa hajawahi poteza.Hata Saul Alvarez Canelo anakumbuka kipondo alichokipata toka kwa Floyd. Pacquiao kipindi cha nyuma akiwa kwenye 30's ndio alikuwa sharp punch zilikuwa zinatoka kwa kasi, lakini sasa hivi ana 40 kiwango kimepungua.Sheikh hamjui Manny huyu, May weather mwenyewe hamuwezi Manny, sema anabebwa tu na wamarekani wenzake.
Wee! Floyd Mayweather Jr mashine nyingine tangu ameanza kucheza ngumi za kulipwa hajawahi poteza.Hata Saul Alvarez Canelo anakumbuka kipondo alichokipata toka kwa Floyd. Pacquiao kipindi cha nyuma akiwa kwenye 30's ndio alikuwa sharp punch zilikuwa zinatoka kwa kasi, lakini sasa hivi ana 40 kiwango kimepungua.
Lakini unachokisema naweza kuamini kwa sababu nilicheki pambano la Floyd Mayweather Jr na mkali wa boxing kutoka Puerto Rico, Miguel Cotto kwa kweli Floyd alipigwa lakini mwisho wa game nikashangaa Floyd katangazwa mshindi. Game ilipigwa katika viwanja vya Madison Square Garden Newyork, Marekani.Ni kweli sometimes anabebwa.Yeah nikweli, tangu ameanza kucheza ngumi za kulipwa hajawahi poteza. Ila game ikipigwa huko kwao dogo anabebwa sana.