Hili la kuuza military ware kwa waasi wa Somalia, Burundi, Uganda, Congo DR na Mali is news to me. To be honest, hata hilo la kuwa supplier wa Tz military uniforms sikuwa nalifahamu. Je unamaanisha alitumia nafasi hiyo kuagiza silaha za kuwauzia hao waasi? Maana kiukweli hizo nchi ni landlocked, so lazima wapitishie bandari za hapa east Africa more likely