Manji sema usiposema...

acha ujinga hujui manji anafadhili mambo ya kibiti na rufiji kwa mbaali.usidhani serikali haioni. Mbona watu wengi wanakamatwa kwa waizi kama wale wa escrow kwani wanatofauti gani na manji.
Peleka huo ushaidi wako polis
 
hzo sare labda alipata zabuni ya kutengeza gwanda za jeshi bt hatuwezi jua lakn huyu MTU ni kada mwenzao bado wanamsomesha namba hvi je ingekuwa wale wa upand ule si ndo hatari kabisa.
 
Nadhani nilimsikia mtu akisema atawateremsha wanaoishi kama Malaika mpaka waishi kama mashetani!
 

Labda ningekuomba umwambie tu atuambie ni Mtu gani ambaye kati ya mwaka 2013 au 2014 wakati alizungumza nae katika Simu alimjibu kwa maneno haya...." Siongei na Mbwa bali naongea na mwenye Mbwa hivyo mwambie aliyekutuma anipigie kwani anajua jinsi ya kunipata "..... kisha akamkatia Simu kwa dharau?

Sasa yule ' Mbwa ' ndiyo ' anabweka ' na ' anambwekea ' vizuri sana.
 
Ila jamaa naye yuko kama fast jet, yuko fast kukamata Mali za nchi ziwe chini yake na kutuliza saut zote kimya!!
Hiv Kikwete yupo nchini?
Baada ya miaka sita marais wastaaf na mawaziri wakuu wastaaaf watakuwa kama walikuwa wenyeviti Wa vijiji tuuuu!!!!
 
Manji hawezi kuwa supplier military equipment bali anajikuta (kwa sababu ya kuwa kwenye mitandao ya wahalifu wa kimataifa) akipewa majuku ya kuunganisha biashara ya dirty arms trade fixers (smugglers) kwa junk payments.
 
Kama kweli visasi,hawa wenzetu wanajua sana kulipiza hata kwa vizazi vinne kuanzia hiki.Tusubir mapicha ya bollywood as andha kanoon, Hatya and like kuchezwa bongoland,kati ya mkulu family n manji's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…