Manji hali tete

Manji hali tete

Fmruma

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
498
Reaction score
784
Kwakweli akitoka kwenye hili bora arudi uarabuni maana sio kwa suluba hizi..
8d1aa2715eca53501374d2a69479a4a8.jpg
 
Hachomoki as ni mambo ya kisasi kesi itapigwa tarehe tu mpaka umalize uchaguzi 2020 ndo kesi itaenda na atatoka.
Sababu kesi yake iko wazi kukamatwa na vitambaa vya sare za jeshi...inatakiwa ianze tu waletwe mashahidi lkn DPP atachelewesha makusudi
kumkomoa kwani mkuu anafurahi mambo kama haya.
Tuombee tu uzima na wabaya wake wapate ubinadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom