nakujuzatz20122
New Member
- May 11, 2018
- 2
- 3
Kutokana na maelezo moja ya wafanyakazi, inadaiwa kuwa zoezi hili si mara ya kwanza na inasemekana zaidi ya wafanyakazi 550 wamefukuzwa ndani ya kampuni kutoka mwezi September 2017.
Mpaka sasa wengi wakiwa ni wafanyakazi wazawa na hawa 250 waliofukuzwa sasa wameahidiwa kulipwa fidia zao baada ya mwezi tofauti na awali ambapo walilipa ndani ya week.
Mpaka sasa wengi wakiwa ni wafanyakazi wazawa na hawa 250 waliofukuzwa sasa wameahidiwa kulipwa fidia zao baada ya mwezi tofauti na awali ambapo walilipa ndani ya week.